Tembelea Nacte.go.tz
Tuesday, January 31, 2017
Monday, January 30, 2017
HEBU FANYA HAYA UFURAHIE NDOA YAKO
HEBU FANYA HAYA UFURAHIE NDOA YAKO
1. MAPOKEZI
Anaporudi kutoka kazini, safarini au kwenye shughuli yake yoyote ile, anza kwa salamu nzuri. Mpokee na kumkumbatia huku uso ukiwa na tabasamu la bashasha.
2. MAVAZI
Jipambe na upake manukato kwa ajili yake mpenzi wako. Vaa vizuri nguo ziwe za kuvutia na za kumtega mnapokua chumbani.
3. USAFI WA MWILI.
Ili kumteka akili mumeo inatakiwa ujue kuoga vizuri na ujue kuzisafisha sehemu nyeti vizuri na ikiwezekana ipake misk au ifukize udi,japo si shauri Sana matumizi ya miski sehemu nyeti
4. JUA NAMNA YA KUZUNGUMZA NA MUMEO
Unapoanza kuzungumza naye anza na mambo au taarifa nzuri, na kama kuna taarifa mbaya subiri mpaka ale apumzike ndio umuambie.
5. SAUTI
Pendezeshe na uilainishe sauti yako kwa ajili ya mumeo,kwani sauti ni silaha muhimu huongeza nakshi katika masikio yake… usifanye hivyo mbele ya wanaume wengine ni haramu .
6. MTINDO
Jitahidi mara kwa mara kubadili mtindo wa nywele, manukato na kadhalika.
Lakini usizidishe kiwango na ufanye hivyo kwa mumeo tu.
7. MAHANJUMATI
Mpikie chakula kitamu ajirambe maana waliosema "the way to a man's heart is through his stomach" hawakukosea.
Ukiachilia mbali wale watu wachache wanaokula ili kushiba wengi huwa wanajali ladha tu.
Mpe mapishi matamu ili kumfanya akumiss pale anapokosa huduma yako.
8. SHUKURU
Kuwa mwenye shukrani kwa mumeo Kwa kikubwa na kidogo. Ukiwa mwenye shukrani, mumeo atazidi kukupenda na atajitahidi kukufurahisha na kukuridhisha zaidi.
Ukiwa mtovu wa shukrani, mumeo atasikitishwa na hali hiyo na kuanza kujiuliza: “Kwa nini nimfanye mambo mazuri mtu asiyekuwa na shukrani?” Epuka Sana hali hiyo.
9. HESHIMA NA UTIIFU
Daima kuwa mtiifu kwa mumeo pia uwe mwaminifu kwa kipenzi chako.
10. Muunge mkono kupitia kazi yake, fedha yake au mali yake pindi inapohitajika. Japo hii wanawake wengi hushindwa kufanya hivyo.
11. MAAGIZO.
Fuata maagizo yake kama kufanya ibada, stara, ukarimu, nidhamu no. isipokuwa katika mambo ya haramu katika Uislamu.
mume ni kiongozi wa familia, na mke ni msaidizi na ni mshauri wake.
12. EPUKA
Jaribu kuepuka yale yanayomkasirisha mumeo
Mfurahishe anapokuwa ameghadhibika.
13. OMBA RADHI
Ukimkosea mumeo muombe msamaha. Na akikosea usihamaki kwa kumfokea au kuzozana naye.
Subiri anapokuwa hana ghadhabu na uzungumze naye kwa amani na kwa kauli nzuri.
14. MAPENZI MATAMU
Mpe mapenzi motomoto kwa style mbalimbali usiwe na style moja , usichelewe kumpa mahaba pindi mumeo anapojiwa na hisia ya kutaka kufanya mapenzi.
Mwambie maneno mataamu na yenye mvuto wa kimahaba.
15. MSIFIE MUMEO
Jua kumsifia babydady kwa zuri atakalokufanyia sio unakaa kimya.
16. ENJOY NAYE.
Mtoe out babydady siku moja moja na siku nyingine, pendelea kutumia muda mwingi kuongea nae maneno mazuri mkiwa wote nyumbani/chumbani.
17. MASSAGE.
Mfanyie massage ya mwili na sehemu nyeti mumeo, vilevile msinge mmeo anapokua nyumbani siku za weekend tumia muda mwingi kumfanyia hayo mambo.
18. MAJINA MATAMU.
Mwite mpenzi wako majina mazuri ya kimapenzi , haiji kumwita mumeo baba sikujua? khaaa, ina husu......
Ili kuiteka akili ya mwanaume muite majina mazuri kama honey, dear, sweet, darling, dady ukishindwa mwite jina lake nusu liwekee swagaa flan
mfano waweza ita my Jey, badala ya jumaa au Bin Rash wangu badala ya Bin Rashid wangu jitahidi best.
Best hakuna mchawi wa mapenzi ukifanya yote hayo utakua umeteka akili yake na hatobanduka kwako abadani..
Sunday, January 29, 2017
UKIFUATA MAMBO HAYA KUMI UTAKUA UMERAMBA SUMU YA PENZI NA HAUTOUMIZA/HUTOUMIZWA KAMWE…
UKIFUATA MAMBO HAYA KUMI UTAKUA UMERAMBA SUMU YA PENZI NA HAUTOUMIZA/HUTOUMIZWA KAMWE…
1. Wivu Wa Kupindukia
Ni Jambo Jema Kwa Mwanamume Kumtakia Heri Mpenzi Wake Na Kufanya Kila Awezalo Kuhakikisha Kuwa Hapati Madhara, Lakini Iwapo Utakuwa Mtu Wa Wasiwasi Na Mashaka Pale Unapomwona Mpenzi Wako Akizungumza Na Mwanamume Mwingine, Au Anapotoka Na Marafiki Zake Wa Kike, Au Anapovaa Nguo Inayomfanya Atamanishe, Basi Fahamu Kuwa Tayari Umekunywa Sumu Ya Mapenzi.
Katika Uhusiano Wa Kimapenzi, Kuaminiana Ni Jambo Muhimu Sana. Kama Kweli Unataka Mpenzi Wako Akupende Kwa Dhati, Mwoneshe Kuwa Unamwamini Na Unaheshimu Maamuzi Yake, Ikiwa Ni Pamoja Na Maamuzi Ya Kutoka Na Marafiki Zake Wa Kike Na Kuwa Na Marafiki Wa Kawaida Wa Kiume. Ondoa Hofu Na Acha Kabisa Kumpeleleza, Maana Wapo Wanaume Ambao Hutumia Muda Wao Mwingi Kuwapeleleza Wapenzi Wao Ikiwa Ni Pamoja Na Kuwategeshea Kamera Na Rekoda Za Simu.
2. Kutomwachia Nafasi Mpenzi
Kama Huishi Na Mpenzi Wako Ni Jambo La Kawaida Kuwa Na Hamu Ya Kumwona Mara Kwa Mara, Lakini Kumbuka Kuwa Mpenzi Wako Naye Ana Maisha Yake Na Anahitaji Nafasi Ya Kuwa Peke Yake Kwa Ajili Ya Mambo Yake Binafsi.
Hisia Za Kutaka Kuwa Na Mpenzi Wako Muda Wote Zinaweza Kudhaniwa Kuwa Ni Za Mapenzi Ya Dhati, Lakini Kwa Hakika Hiyo Si Ishara Njema Ya Mapenzi Ya Kudumu. Hebu Jiulize Kama Unaweza Kuendeleza Hali Hiyo Maisha Yako Yote. Ni Wazi Kuwa Utachoka. Kwa Hiyo, Mpe Mpenzi Wako Fursa Ya Kupumua. Namna Hii Mpenzi Wako Atajenga Hamu Ya Kutaka Kukutana Nawe Lakini Ukiwa Naye Muda Wote Hamu Hiyo Itaisha.
3. Kumwamulia Mpenzi Mambo Yake
Unaweza Kujikuta Ukisukumwa Kumwambia Mpenzi Wako Awe Anavaa Nini Wakati Gani, Akutane Na Nani Na Kwa Wakati Gani Au Ale Nini. Ukiona Hivyo, Fahamu Kuwa Hayo Si Mapenzi, Bali Umepitiliza Na Pengine Mwisho Wa Uhusiano Wenu Unanukia.
Hata Ukiachilia Mbali Suala Zima La Usawa Wa Jinsia, Hakuna Mwanamke Ambaye Angependa Apangiwe Kila Kitu Kuhusiana Na Maisha Yake. Kama Ilivyodokezwa Hapo Juu, Kila Mtu Ana Maisha Yake Na Kilichowaunganisha Ni Mapenzi Tu. Kama Utataka Kumpangia Kila Kitu Ni Wazi Kuwa Utaishia Kuishi Peke Yako.
4. Kumuuliza Mpenzi Maswali
Iwapo Utajikuta Ukimuuliza Mpenzi Wako Maswali Mengi Yanayoonesha Wasiwasi Wako Kuhusiana Na Mwenendo Wake, Fahamu Kuwa Kuna Tatizo Na Tatizo Hilo Lisipopatiwa Ufumbuzi Utakuwa Mwanzo Wa Mwisho Wa Uhusiano Wenu.
Mwanamke Angependa Umuulize Maswali Ya Kawaida Kuhusiana Na Jinsi Siku Yake Ilivyokuwa Na Kama Marafiki Zake Hawajambo Au La, Lakini Kila Jambo Lina Mpaka Wake. Mwanamke Hatarajii Kuwa Kila Mnapokutana Atakuwa Kama Ameingia Kwenye Chumba Cha Mtihani Au Usaili Wa Kazi.
5. Kutoamini Anachokweleza Mpenzi
Wakati Mwingine Watu Hushindwa Kuwaamini Wenzao, Lakini Kwa Sababu Ambazo Ni Za Msingi, Lakini Kuna Wakati Ambapo Mtu Hushindwa Kumwamini Mwenzake Bila Sababu Yoyote Ya Msingi, Au Kwa Sababu Zisizo Sahihi, Kisingizio Kikiwa Ni Mapenzi.
Kuna Tatizo La Kisaikolojia La Kujishuku Au Kuwashuku Wenzako. Hili Ni Jambo Ambalo Linaweza Kukuharibia Mustakabali Wako Katika Mapenzi, Maana Husababisha Kujengeka Kwa Mazingira Ya Kutokuaminiana. Ili Uweze Kwenda Sanjari Na Mpenzi Wako, Amini Kila Anachokweleza Hadi Pale Utakapokuwa Na Sababu Za Msingi Za Kutokumwamini. Na Hata Unapokuwa Umelithibitisha Jambo, Endelea Kuwa Katika Uhalisia Wako.
6. Kuacha Hobi, Marafiki
Mahusiano Ya Kimapenzi Mara Nyingi Huhusisha Kila Mmoja Kuacha Baadhi Ya Mambo Yake Kwa Ajili Ya Mwenzake. Hata Hivyo, Lengo Ni Kuweka Tu Uwiano Wa Mahitaji, Si Kuacha Kila Kitu Ulichokuwa Nacho Kwa Ajili Ya Mwenzako, Ama Kwa Shinikizo, Au Kwa Kulewa Penzi.
Iwapo Utabaini Kuwa Marafiki Zako Sasa Wamekuwa Ni Marafiki Zako Wa Zamani Na Hobi Zako Zimebaki Tu Katika Kumbukumbu Japo Kwa Hakika Bado Unahisi Mapenzi Katika Hobi Hizo, Basi Tambua Kuwa Huyo Mrembo Wako Amekunywesha Sumu Ya Penzi Na Sasa Huwezi Hata Kuitumia Vema Mantiki Yako.
Mbaya Zaidi, Iwapo Utabaini Kuwa Marafiki Zako Wapya Ni Marafiki Wa Siku Zote Wa Mpenzi Wako Na Hobi Zako Ni Zile Za Mpenzi Wako, Basi Tambua Kuwa Huna Tena Nafsi Yako, Bali Umejisalimisha Mzima Mzima Kwa Mpenzi Wako. Lakini Msemo Mmoja Wa Hekima Unatwambia Usiweke Mayai Yako Yote Kwenye Kikapu Kimoja. Yamkini Unaelewa.
7. Kukubali Kupelekeshwa
Pengine Unakumbuka Kuwa Kuna Nyakati Ambapo Ulikuwa Na Uwezo Wa Kujikita Katika Jambo Moja Na Kulifanya Kwa Umakini, Huku Ukiwa Pia Mwerevu, Mjanja Na Unayejisimamia, Lakini Leo Unayeyuka Kirahisi Tu Kama Barafu Iliyowekwa Juani! Hii Ni Hatari Kwa Mustakabali Wa Maisha Yako.
Mbaya Zaidi Ni Pale Utakapoiacha Kazi Yako Inayokulipa Vizuri Na Kufanya Kazi Nyingine Kwa Ajili Ya Kumfurahisha Mpenzi Wako. Ukifika Hali Hii Ujue Wewe Mwenyewe Kuwa Hapo Hakuna Mwanamume.
8. Utayari Wa Kufa Kwa Ajili Yake
Umewahi Kujisikia Kuwa Na Utayari Wa Kufa Kwa Ajili Ya Mpenzi Wako? Kama Jibu Ni “Ndiyo”, Basi Fahamu Kwa Hakika Kuwa Hayo Uliyo Nayo Si Mapenzi Bali Ni Upumbavu. Pengine Huku Ndiko Kunywesha Sumu Ya Mapenzi. Kwa Hakika, Hakuna Mwanamke Ambaye Anastahili Kumfanya Mwanamume Yeyote Kufa Kwa Ajili Yake.
Yamkini Wanaume Wanaolengwa Katika Makala Haya Si Wavulana Wanaosoma Sekondari, Waliobalehe Majuzi, Ambao Wakipenda Au Kupendwa Hujiona Kama Wako Katika Sayari Yao. Mwanamume Aliyepevuka Hujiamini Na Hayaweki Maisha Yake Yote Mikononi Mwa Mwanamke, Hata Kama Mwanamke Huyo Angekuwa Ndiye Mrembo Wa Dunia.
Iwapo, Ama Kwa Ujinga Au Kwa Kufahamu Umewahi Kumwambia Mpenzi Wako: “Ukiniacha Nitajiua,” Na Ukawa Unaamini Hivyo Kabisa, Basi Yamkini Unahitaji Kutafuta Msaada Wa Ushauri Nasaha, Maana Kwa Hakika Umepotoka.
9. Muda Wote Unawasiliana Naye
Vijana Wa Siku Hizi Ni Watumiaji Wazuri Sana Wa Simu, Lakini Iwapo Utabaini Kuwa Asilimia Kubwa Ya Muda Wako Unautumia Ama Kwa Kuongea Au Kuwasiliana Kwa Ujumbe Mfupi Na Mpenzi Wako, Basi Fahamu Kuwa Kuna Tatizo Ambalo Linahitaji Ufumbuzi Wa Haraka.
Kumbuka Kuwa Mapenzi Hayachukui Nafasi Ya Kila Kitu. Yamkini Huyo Mpenzi Wako Amekukuta Unaishi Na Kuna Mambo Ya Muhimu Ya Kufanya. Hebu Achana Na Simu Kwanza Ufanye Mambo Ya Muhimu Kuhusiana Na Maisha Yako. Kama Mpenzi Wako Hakwelewi Katika Hili Basi Hakufai.
10. Ndugu Zake Wanakufuatilia
Iwapo Utabaini Kuwa Marafiki, Ndugu Na Jamaa Za Mpenzi Wako Wanamtonya Mpenzi Wako Kuhusiana Na Kile Wanachokiita Mwenendo Wako Mbaya, Usipuuze Hali Hii. Kuna Uwezekano Mkubwa Kuwa Watu Hawa Wanayo Sababu Ya Kuwa Na Wasiwasi Na Mwenendo Wako, Kwa Hiyo Jichunguze Na Kuangalia Jinsi Unavyoenenda.
Hata Hivyo, Jambo Hili Si Ishara Njema Ya Mustakabali Mwema Wa Uhusiano Wenu. Iwapo Mpenzi Wako Ataweka Watu Wake Wakufuatilie, Maana Yake Halisi Ni Kwamba Hakuamini. Katika Hali Kama Hii, Haitarajiwi Kuwa Mustakabali Wa Uhusiano Wenu Utakuwa Mzuri, Kwani Kutakuwa Na Uingilizi Mwingi Wa Ndugu, Jamaa Na Marafiki Zake. Unaweza Kukubali Kuendelea Kuishi Katika Hali Hii Kwa Kisingizio Cha Mapenzi, Lakini Ukweli Ni Kwamba Hayatakuwa Mapenzi Bali Karaha.
KUWA MAKINI
Kama Unavyoona, Hizi Ni Baadhi Tu Ya Dalili Kuwa Mapenzi Yako Kwa Mwanamke Sasa Yanaelekea Katika Ulevi, Mithili Ya Ule Wa Dawa Za Kulevya. Jambo Moja La Kukumbuka Ni Kwamba Kweli Mapenzi Ni Kitu Kizuri, Lakini Pia Mapenzi Yanahitaji Kuwa Jambo Linaloashiria Mustakabali Mwema Kwa Wahusika Wawili. Yakiwapo Mambo Haya Kumi Hauwezi Kuwapo Mustakabali Mwema Katika Mapenzi.
1. Wivu Wa Kupindukia
Ni Jambo Jema Kwa Mwanamume Kumtakia Heri Mpenzi Wake Na Kufanya Kila Awezalo Kuhakikisha Kuwa Hapati Madhara, Lakini Iwapo Utakuwa Mtu Wa Wasiwasi Na Mashaka Pale Unapomwona Mpenzi Wako Akizungumza Na Mwanamume Mwingine, Au Anapotoka Na Marafiki Zake Wa Kike, Au Anapovaa Nguo Inayomfanya Atamanishe, Basi Fahamu Kuwa Tayari Umekunywa Sumu Ya Mapenzi.
Katika Uhusiano Wa Kimapenzi, Kuaminiana Ni Jambo Muhimu Sana. Kama Kweli Unataka Mpenzi Wako Akupende Kwa Dhati, Mwoneshe Kuwa Unamwamini Na Unaheshimu Maamuzi Yake, Ikiwa Ni Pamoja Na Maamuzi Ya Kutoka Na Marafiki Zake Wa Kike Na Kuwa Na Marafiki Wa Kawaida Wa Kiume. Ondoa Hofu Na Acha Kabisa Kumpeleleza, Maana Wapo Wanaume Ambao Hutumia Muda Wao Mwingi Kuwapeleleza Wapenzi Wao Ikiwa Ni Pamoja Na Kuwategeshea Kamera Na Rekoda Za Simu.
2. Kutomwachia Nafasi Mpenzi
Kama Huishi Na Mpenzi Wako Ni Jambo La Kawaida Kuwa Na Hamu Ya Kumwona Mara Kwa Mara, Lakini Kumbuka Kuwa Mpenzi Wako Naye Ana Maisha Yake Na Anahitaji Nafasi Ya Kuwa Peke Yake Kwa Ajili Ya Mambo Yake Binafsi.
Hisia Za Kutaka Kuwa Na Mpenzi Wako Muda Wote Zinaweza Kudhaniwa Kuwa Ni Za Mapenzi Ya Dhati, Lakini Kwa Hakika Hiyo Si Ishara Njema Ya Mapenzi Ya Kudumu. Hebu Jiulize Kama Unaweza Kuendeleza Hali Hiyo Maisha Yako Yote. Ni Wazi Kuwa Utachoka. Kwa Hiyo, Mpe Mpenzi Wako Fursa Ya Kupumua. Namna Hii Mpenzi Wako Atajenga Hamu Ya Kutaka Kukutana Nawe Lakini Ukiwa Naye Muda Wote Hamu Hiyo Itaisha.
3. Kumwamulia Mpenzi Mambo Yake
Unaweza Kujikuta Ukisukumwa Kumwambia Mpenzi Wako Awe Anavaa Nini Wakati Gani, Akutane Na Nani Na Kwa Wakati Gani Au Ale Nini. Ukiona Hivyo, Fahamu Kuwa Hayo Si Mapenzi, Bali Umepitiliza Na Pengine Mwisho Wa Uhusiano Wenu Unanukia.
Hata Ukiachilia Mbali Suala Zima La Usawa Wa Jinsia, Hakuna Mwanamke Ambaye Angependa Apangiwe Kila Kitu Kuhusiana Na Maisha Yake. Kama Ilivyodokezwa Hapo Juu, Kila Mtu Ana Maisha Yake Na Kilichowaunganisha Ni Mapenzi Tu. Kama Utataka Kumpangia Kila Kitu Ni Wazi Kuwa Utaishia Kuishi Peke Yako.
4. Kumuuliza Mpenzi Maswali
Iwapo Utajikuta Ukimuuliza Mpenzi Wako Maswali Mengi Yanayoonesha Wasiwasi Wako Kuhusiana Na Mwenendo Wake, Fahamu Kuwa Kuna Tatizo Na Tatizo Hilo Lisipopatiwa Ufumbuzi Utakuwa Mwanzo Wa Mwisho Wa Uhusiano Wenu.
Mwanamke Angependa Umuulize Maswali Ya Kawaida Kuhusiana Na Jinsi Siku Yake Ilivyokuwa Na Kama Marafiki Zake Hawajambo Au La, Lakini Kila Jambo Lina Mpaka Wake. Mwanamke Hatarajii Kuwa Kila Mnapokutana Atakuwa Kama Ameingia Kwenye Chumba Cha Mtihani Au Usaili Wa Kazi.
5. Kutoamini Anachokweleza Mpenzi
Wakati Mwingine Watu Hushindwa Kuwaamini Wenzao, Lakini Kwa Sababu Ambazo Ni Za Msingi, Lakini Kuna Wakati Ambapo Mtu Hushindwa Kumwamini Mwenzake Bila Sababu Yoyote Ya Msingi, Au Kwa Sababu Zisizo Sahihi, Kisingizio Kikiwa Ni Mapenzi.
Kuna Tatizo La Kisaikolojia La Kujishuku Au Kuwashuku Wenzako. Hili Ni Jambo Ambalo Linaweza Kukuharibia Mustakabali Wako Katika Mapenzi, Maana Husababisha Kujengeka Kwa Mazingira Ya Kutokuaminiana. Ili Uweze Kwenda Sanjari Na Mpenzi Wako, Amini Kila Anachokweleza Hadi Pale Utakapokuwa Na Sababu Za Msingi Za Kutokumwamini. Na Hata Unapokuwa Umelithibitisha Jambo, Endelea Kuwa Katika Uhalisia Wako.
6. Kuacha Hobi, Marafiki
Mahusiano Ya Kimapenzi Mara Nyingi Huhusisha Kila Mmoja Kuacha Baadhi Ya Mambo Yake Kwa Ajili Ya Mwenzake. Hata Hivyo, Lengo Ni Kuweka Tu Uwiano Wa Mahitaji, Si Kuacha Kila Kitu Ulichokuwa Nacho Kwa Ajili Ya Mwenzako, Ama Kwa Shinikizo, Au Kwa Kulewa Penzi.
Iwapo Utabaini Kuwa Marafiki Zako Sasa Wamekuwa Ni Marafiki Zako Wa Zamani Na Hobi Zako Zimebaki Tu Katika Kumbukumbu Japo Kwa Hakika Bado Unahisi Mapenzi Katika Hobi Hizo, Basi Tambua Kuwa Huyo Mrembo Wako Amekunywesha Sumu Ya Penzi Na Sasa Huwezi Hata Kuitumia Vema Mantiki Yako.
Mbaya Zaidi, Iwapo Utabaini Kuwa Marafiki Zako Wapya Ni Marafiki Wa Siku Zote Wa Mpenzi Wako Na Hobi Zako Ni Zile Za Mpenzi Wako, Basi Tambua Kuwa Huna Tena Nafsi Yako, Bali Umejisalimisha Mzima Mzima Kwa Mpenzi Wako. Lakini Msemo Mmoja Wa Hekima Unatwambia Usiweke Mayai Yako Yote Kwenye Kikapu Kimoja. Yamkini Unaelewa.
7. Kukubali Kupelekeshwa
Pengine Unakumbuka Kuwa Kuna Nyakati Ambapo Ulikuwa Na Uwezo Wa Kujikita Katika Jambo Moja Na Kulifanya Kwa Umakini, Huku Ukiwa Pia Mwerevu, Mjanja Na Unayejisimamia, Lakini Leo Unayeyuka Kirahisi Tu Kama Barafu Iliyowekwa Juani! Hii Ni Hatari Kwa Mustakabali Wa Maisha Yako.
Mbaya Zaidi Ni Pale Utakapoiacha Kazi Yako Inayokulipa Vizuri Na Kufanya Kazi Nyingine Kwa Ajili Ya Kumfurahisha Mpenzi Wako. Ukifika Hali Hii Ujue Wewe Mwenyewe Kuwa Hapo Hakuna Mwanamume.
8. Utayari Wa Kufa Kwa Ajili Yake
Umewahi Kujisikia Kuwa Na Utayari Wa Kufa Kwa Ajili Ya Mpenzi Wako? Kama Jibu Ni “Ndiyo”, Basi Fahamu Kwa Hakika Kuwa Hayo Uliyo Nayo Si Mapenzi Bali Ni Upumbavu. Pengine Huku Ndiko Kunywesha Sumu Ya Mapenzi. Kwa Hakika, Hakuna Mwanamke Ambaye Anastahili Kumfanya Mwanamume Yeyote Kufa Kwa Ajili Yake.
Yamkini Wanaume Wanaolengwa Katika Makala Haya Si Wavulana Wanaosoma Sekondari, Waliobalehe Majuzi, Ambao Wakipenda Au Kupendwa Hujiona Kama Wako Katika Sayari Yao. Mwanamume Aliyepevuka Hujiamini Na Hayaweki Maisha Yake Yote Mikononi Mwa Mwanamke, Hata Kama Mwanamke Huyo Angekuwa Ndiye Mrembo Wa Dunia.
Iwapo, Ama Kwa Ujinga Au Kwa Kufahamu Umewahi Kumwambia Mpenzi Wako: “Ukiniacha Nitajiua,” Na Ukawa Unaamini Hivyo Kabisa, Basi Yamkini Unahitaji Kutafuta Msaada Wa Ushauri Nasaha, Maana Kwa Hakika Umepotoka.
9. Muda Wote Unawasiliana Naye
Vijana Wa Siku Hizi Ni Watumiaji Wazuri Sana Wa Simu, Lakini Iwapo Utabaini Kuwa Asilimia Kubwa Ya Muda Wako Unautumia Ama Kwa Kuongea Au Kuwasiliana Kwa Ujumbe Mfupi Na Mpenzi Wako, Basi Fahamu Kuwa Kuna Tatizo Ambalo Linahitaji Ufumbuzi Wa Haraka.
Kumbuka Kuwa Mapenzi Hayachukui Nafasi Ya Kila Kitu. Yamkini Huyo Mpenzi Wako Amekukuta Unaishi Na Kuna Mambo Ya Muhimu Ya Kufanya. Hebu Achana Na Simu Kwanza Ufanye Mambo Ya Muhimu Kuhusiana Na Maisha Yako. Kama Mpenzi Wako Hakwelewi Katika Hili Basi Hakufai.
10. Ndugu Zake Wanakufuatilia
Iwapo Utabaini Kuwa Marafiki, Ndugu Na Jamaa Za Mpenzi Wako Wanamtonya Mpenzi Wako Kuhusiana Na Kile Wanachokiita Mwenendo Wako Mbaya, Usipuuze Hali Hii. Kuna Uwezekano Mkubwa Kuwa Watu Hawa Wanayo Sababu Ya Kuwa Na Wasiwasi Na Mwenendo Wako, Kwa Hiyo Jichunguze Na Kuangalia Jinsi Unavyoenenda.
Hata Hivyo, Jambo Hili Si Ishara Njema Ya Mustakabali Mwema Wa Uhusiano Wenu. Iwapo Mpenzi Wako Ataweka Watu Wake Wakufuatilie, Maana Yake Halisi Ni Kwamba Hakuamini. Katika Hali Kama Hii, Haitarajiwi Kuwa Mustakabali Wa Uhusiano Wenu Utakuwa Mzuri, Kwani Kutakuwa Na Uingilizi Mwingi Wa Ndugu, Jamaa Na Marafiki Zake. Unaweza Kukubali Kuendelea Kuishi Katika Hali Hii Kwa Kisingizio Cha Mapenzi, Lakini Ukweli Ni Kwamba Hayatakuwa Mapenzi Bali Karaha.
KUWA MAKINI
Kama Unavyoona, Hizi Ni Baadhi Tu Ya Dalili Kuwa Mapenzi Yako Kwa Mwanamke Sasa Yanaelekea Katika Ulevi, Mithili Ya Ule Wa Dawa Za Kulevya. Jambo Moja La Kukumbuka Ni Kwamba Kweli Mapenzi Ni Kitu Kizuri, Lakini Pia Mapenzi Yanahitaji Kuwa Jambo Linaloashiria Mustakabali Mwema Kwa Wahusika Wawili. Yakiwapo Mambo Haya Kumi Hauwezi Kuwapo Mustakabali Mwema Katika Mapenzi.
Nacte imezitaja shule 10 bora kitaifa na shule 10 za mwisho kitaifa
[00:41, 1/28/2017] +255 788 683 892: Mh Joyce Ndalichako atangaza rasmi siku ya matokeo ya kidato cha nne yaani NECTA "CSEE" ni siku ya tarehe 12/2/2017 kwa mwaka wa masomo na wanafunzi watakao faulu watalazimika kuingia shuleni siku ya tarehe 1/4/2017 wanafunzi hao wawe na pass 3 na spl pass 2 ili wajiunge na kidato cha tano kwa mwaka mpya wa masomo na wanafunzi, na kuzielezea skuli zilizofanya udanganyifu kwa upande wa Unguja ni K/SAMAKI, K/KWE "C", FARAJA, TUMEKUJA, na kuzitaja zilizofanya uzur pia hivyo kuhusu matoke ni mazur kwa asilimia 75% kuliko mwaka ulopita. HABARI HII IMETOLEWA KATIKA SHIRIKA LA UTANGAZAJI TBC.
[00:41, 1/28/2017] +255 788 683 892: https://www.youtube.com/watch?v=Atx8Bo3xHDU&feature=youtube_gdata_player
[00:41, 1/28/2017] +255 788 683 892: https://www.youtube.com/watch?v=Atx8Bo3xHDU&feature=youtube_gdata_player
Saturday, January 28, 2017
FAIDA ZA KULA MATANGO (CUCUCMBERS)KUTIBU MARADHI NA KUTUMIKA KWA UREMBO
FAIDA ZA KULA MATANGO (CUCUCMBERS)KUTIBU MARADHI NA KUTUMIKA KWA UREMBO
Tango ni tunda moja wapo yenye maji mengi kama vile tikiti maji ,linabeba virutubisho vingi vitamin K,B,C,potasium,manganese .Tango lina polyphenols ambayo inasaidia kukuepusha kupata maradhi sugu.Ni vizuri mkatumia matanga mara kwa mara kwa kutengeneza juice,kuchanganya kwenye kachumbali (salad)bila kumenya maganda yake yanabeba virutubisho vizuri,au unaweza weka kwenye mkate na kuchanganya na maji ya kunywa kuyapa ladha na vitamins.
Umuhimu wa kula tango kwa afya yako
1.Kuipa kinga ubongo
Tango lina anti-inflammatory flavonol inayopelekea kuipa kinga ubongo na kukufanya kuwa na kumbukumbu nzuri (improve your memory).
2.Kupunguza hatari ya kupata cancer.
Tango linakupunguzia hatari ya kuapata cancer ya maziwa na shemu za uzazi (uterine,mayai ya uzazi (ovari).
3.Kutoa harufu mbaya mdomoni.
Kata kipande cha tango weka mdomoni kwa dakika 5 fanya mara 3 kwa siku inataidia kutoa bakteria wafanya kunuka mdomo .
4.Kupunguza stress.
Tango linavitamins B,vitaminB1 vitaminB5 na vitamini B7 ambazo zinakupunguza stress.
5.Kusaidia mmeng’enyo wa chakula.
Tango lina maji maji na fiber inayosaidia mmeng’enyo wa chakula tumboni,kwa wale wenye tatizo la kupata haja kubwa(constipation) kula tango bila kumenya ganda lake, linabeba fiber itakayo kusaidia kuapa choo kwa urahisi.
6.Wenye matatizo ya moyo
Tatizo la pressure linaweza kupunguzwa kwa kula matango mara kwa mara sababu tango lina potasium inayofanya kushuka pressure kwa urahisi na salama.
7.Kupunguza hatari ya kupata kisukari,kupunguza cholesterol8.Kutibu maumivu ya viungo9.Kufanya kuwa na ngozi laini na kukuza nywele kwa haraka.
11.Kutumika kutoa alama nyeusi chini ya macho.
Kata tango umbo la duara weka kipande kimoja kwa kila jicho, fanga macho ndio uweke kwa juu . Kwa matumizi ya uso(facial ) pia unasaga iwe laini (puree) na paka usoni acha kwa dakika 20 ,kish nawa kwa maji safi itakufanya kuwa soft na fresh.
12.Kutoa sumu mwilini.
tengeneza juice ya tango,unaweza changanya na apple,spinachi na limao saga pamoja ni njia nzuri ya kutoa sumu mwilini kwa wale wanaotumia madawa kali n.k
Tango ni tunda moja wapo yenye maji mengi kama vile tikiti maji ,linabeba virutubisho vingi vitamin K,B,C,potasium,manganese .Tango lina polyphenols ambayo inasaidia kukuepusha kupata maradhi sugu.Ni vizuri mkatumia matanga mara kwa mara kwa kutengeneza juice,kuchanganya kwenye kachumbali (salad)bila kumenya maganda yake yanabeba virutubisho vizuri,au unaweza weka kwenye mkate na kuchanganya na maji ya kunywa kuyapa ladha na vitamins.
Umuhimu wa kula tango kwa afya yako
1.Kuipa kinga ubongo
Tango lina anti-inflammatory flavonol inayopelekea kuipa kinga ubongo na kukufanya kuwa na kumbukumbu nzuri (improve your memory).
2.Kupunguza hatari ya kupata cancer.
Tango linakupunguzia hatari ya kuapata cancer ya maziwa na shemu za uzazi (uterine,mayai ya uzazi (ovari).
3.Kutoa harufu mbaya mdomoni.
Kata kipande cha tango weka mdomoni kwa dakika 5 fanya mara 3 kwa siku inataidia kutoa bakteria wafanya kunuka mdomo .
4.Kupunguza stress.
Tango linavitamins B,vitaminB1 vitaminB5 na vitamini B7 ambazo zinakupunguza stress.
5.Kusaidia mmeng’enyo wa chakula.
Tango lina maji maji na fiber inayosaidia mmeng’enyo wa chakula tumboni,kwa wale wenye tatizo la kupata haja kubwa(constipation) kula tango bila kumenya ganda lake, linabeba fiber itakayo kusaidia kuapa choo kwa urahisi.
6.Wenye matatizo ya moyo
Tatizo la pressure linaweza kupunguzwa kwa kula matango mara kwa mara sababu tango lina potasium inayofanya kushuka pressure kwa urahisi na salama.
7.Kupunguza hatari ya kupata kisukari,kupunguza cholesterol8.Kutibu maumivu ya viungo9.Kufanya kuwa na ngozi laini na kukuza nywele kwa haraka.
11.Kutumika kutoa alama nyeusi chini ya macho.
Kata tango umbo la duara weka kipande kimoja kwa kila jicho, fanga macho ndio uweke kwa juu . Kwa matumizi ya uso(facial ) pia unasaga iwe laini (puree) na paka usoni acha kwa dakika 20 ,kish nawa kwa maji safi itakufanya kuwa soft na fresh.
12.Kutoa sumu mwilini.
tengeneza juice ya tango,unaweza changanya na apple,spinachi na limao saga pamoja ni njia nzuri ya kutoa sumu mwilini kwa wale wanaotumia madawa kali n.k
Friday, January 27, 2017
MAMBO 10 YANAWEZA KUWA KAMA KICHOCHEO CHA USALITI KATIKA NDOA AMBAYO HASA NI TATIZO LA MOYO
MAMBO 10 YANAWEZA KUWA KAMA KICHOCHEO CHA USALITI KATIKA NDOA AMBAYO HASA NI TATIZO LA MOYO.
1. Kutokuvutia tena
• Moja ya sababu iliyopelekea kukubali kuoa au kuolewa na huyo mwenzi wako, kuna baadhi ya vitu ulivutiwa navyo ndio akawaacha woote na kumchagua huyo.
• Vitu hivyo usipovizingatia na kuvi “maintain” vitasababisha hali ya kukinai kwa mwenzi wako na mwisho kuanza kuvutiwa na wengine kule nje.
2. Kutokujali tena kuwa unaongezeka unene, kubadilika unavyoonekana na
• Kila mwanandoa ana “test” yake ya mvuto kwa mwenzi wake.
• Kuna mwingine alikupenda kwasababu ya wembamba wako sasa unapojiachia na kuwa mnene ila hamu ya kuendelea kuvutiwa nawe inapungua na baadaye inakwisha na kusababisha aanze kuchungulia nje ya “fance”
• Kuna mwingine alikupenda kwasababu ya unene au kujazia katika maeneo Fulani Fulani. Sasa mwili ukiporomoka unapoteza ule mvuto tena na kumfanya apoteze hamu ya kuwa na wewe na kumfanya kuanza kuchungulia chungulia nje.
• Ni vizuri kujali afya yako na kujua ni vitu gani vinavyomvutia mwenzi wako kutoka kwenye mwili wako na ujitahiti kuvitunza “maintain” ili kuendelea kudumisha ule mvuto kwa mwenzi wako.
3. Kupungua kwa hamu ya tendo la ndoa.
• Tendo la ndoa ndio mhimili unaoishikilia ndoa.
• Ukiona hamu ya tendo la ndoa imepungua kwa mwenzi wako ujue majanga yanakunyemelea.
• Kufanya tendo la ndoa mara chache miongoni mwa wanandoa ni ufa wa kubomoa ukuta na ulinzi wa ndoa.
• Muda si mrefu utaanza kutamani wengine na mwisho wake utaangukia huko.
4. Kukosa hamu katika mavazi mazuri kwa ujumla, mtindo wa nywele na jinsi unavyoonekana.
• Hili hasa ni kwa wanawake. Kable ya kuolewa ulikuwa unajitahidi sana kujipemba na kujitunza kila wakati ulikuwa safi na nadhifu.
• Pochi yako ilikuwa haikosi vi pafyumu pafyumu. Sasa umesahau hata bei za pafyumu zinauzwaje.
• Sasa umeolewa, unashinda na upande wa kanga au kitenge kifuani toka asubuhi mpaka jioni wala huna habari.
• Mumeo kila akikuangalia mpaka haamini kama ni wewe aliyekuoa ukiwa mrembo na wa kuvutia.
• Unavaa nguo nzuri tu pale tu unapotoka kwenda kanisani au mtoko maalumu.
5. Kukosekana kwa mawasiliano
• Mawasiliano yanaushisha pande zote mbili.
• Anayetoa na anayepokea
6. Kushindwa kuendeleza yale yanayompendeza kila mmoja wenu.
• Mnakubaliana mipango kama wanandoa lakini utakelezaji unakua mgumu.
• Mmoja anakuwa tayari kutekeleza na mwingine anashindwa.
• Aliyetayari kutekeleza anavunjwa moya sana na Yule ambaye sio mtekelezaji.
7. Ndoa za kipindi cha likizo.
• Wanandoa wanaonana siku kumi na nne tu kasha kila mtu anasafiri kurudi anakofanya kazi.
• Wapo baadhi ya wanandoa kutokana na mazingira yao ya kazi wanaonana kila baada ya miezi 6 au wengine hata mara moja kwa mwaka.
• Hii hasa ni kwa wanandoa wanaofanya kazi mikoa mbali mabili au nchi mbalimbali.
• Wanatafuta pesa wakiua ndoa zao kwajili ya kusaka pesa.
• Ni heri kuacha kazi hiyo na kuishi maisha ya kawaida kuliko kuwa na ndoa kama hii.
• Kiufupi hii sio ndoa.
8. Kushindwa kushirikiana chumba cha kulala.
• Zipo baadhi ya ndoa mume analala chumba chake na mke analala chumba chake.
• Wapo wanandoa pia ambao wanalala chumba kimoja ila vitanda tofauti
• Kuna wengine wanalala chumba kimoja ila mmoja analala kitandani na mwingine analala chini.
9. Kushindwa kumfikisha mwenza wako mara kwa mara katika tendo la ndoa.
• Sio swala la kushiriki tu.
• Mnaweza mkawa mnashiriki lakini je ushirika huo unamridhisha kila mmoja wenu?
• Mmoja anapokuwa anapunjika kila siku anakula lakini hashibi, inafungua mlango wa kumtafuta mshibishaji mwingine ili aweze kumshibisha.
• Tatizo hili ni kubwa sana hasa kwa siku za leo.
• Wanaume wengi ni wavivu na wenye ubinafsi.
• Wanalishwa vizuri ila wanajishibisha wenyewe tu na kuwaacha wake zao wakiishi kwa njaa ya muda mrefu na matokeo yake michepuko imekuwa ikiongezeka kila iitwapo leo.
10. Kufanya kazi pamoja mwanamke na mwaname asiye mwenzi wako kwa muda mrefu.
• Sumaku na bati vikikaa karibu mwishowe vitanasa.
• Mwanamke na mwanaume wanaofanya kazi pamoja kwa muda mrefu wakiwa katika mazingira ya private huishia katika kutamaniana.
• Kazi za kusafiri kwa pamoja mwanamke na mwanaume na kukaa hotel moja kikazi wakiwa wawili tu huweza kuongeza kazi ya ziada ambayo ni sumu kwa ndoa zao.
• Kwenda kusoma pamoja kozi za nje kati ya wawili hao, wanaweza kuvumila sikuchache za kwanza na baada ya hapo huweza kujikuta wakiwa katika ukurasa mwingine.
• Kwenda safari mbali za kikazi pamoja umakini usipozingatiwa ni majanga.
• Kufanya vikao katika vyumba vya hotel mwanamke na mwanaume.
• Kujifungia kufanya counselling au maombezi mwanamke na mwanaume wawili tu chumbani ni majanga.
• Kujifungia chumbani mwanaume na mwanamke wawili tu kusoma na kubukua kwajili ya mtihani ni majanga
1. Kutokuvutia tena
• Moja ya sababu iliyopelekea kukubali kuoa au kuolewa na huyo mwenzi wako, kuna baadhi ya vitu ulivutiwa navyo ndio akawaacha woote na kumchagua huyo.
• Vitu hivyo usipovizingatia na kuvi “maintain” vitasababisha hali ya kukinai kwa mwenzi wako na mwisho kuanza kuvutiwa na wengine kule nje.
2. Kutokujali tena kuwa unaongezeka unene, kubadilika unavyoonekana na
• Kila mwanandoa ana “test” yake ya mvuto kwa mwenzi wake.
• Kuna mwingine alikupenda kwasababu ya wembamba wako sasa unapojiachia na kuwa mnene ila hamu ya kuendelea kuvutiwa nawe inapungua na baadaye inakwisha na kusababisha aanze kuchungulia nje ya “fance”
• Kuna mwingine alikupenda kwasababu ya unene au kujazia katika maeneo Fulani Fulani. Sasa mwili ukiporomoka unapoteza ule mvuto tena na kumfanya apoteze hamu ya kuwa na wewe na kumfanya kuanza kuchungulia chungulia nje.
• Ni vizuri kujali afya yako na kujua ni vitu gani vinavyomvutia mwenzi wako kutoka kwenye mwili wako na ujitahiti kuvitunza “maintain” ili kuendelea kudumisha ule mvuto kwa mwenzi wako.
3. Kupungua kwa hamu ya tendo la ndoa.
• Tendo la ndoa ndio mhimili unaoishikilia ndoa.
• Ukiona hamu ya tendo la ndoa imepungua kwa mwenzi wako ujue majanga yanakunyemelea.
• Kufanya tendo la ndoa mara chache miongoni mwa wanandoa ni ufa wa kubomoa ukuta na ulinzi wa ndoa.
• Muda si mrefu utaanza kutamani wengine na mwisho wake utaangukia huko.
4. Kukosa hamu katika mavazi mazuri kwa ujumla, mtindo wa nywele na jinsi unavyoonekana.
• Hili hasa ni kwa wanawake. Kable ya kuolewa ulikuwa unajitahidi sana kujipemba na kujitunza kila wakati ulikuwa safi na nadhifu.
• Pochi yako ilikuwa haikosi vi pafyumu pafyumu. Sasa umesahau hata bei za pafyumu zinauzwaje.
• Sasa umeolewa, unashinda na upande wa kanga au kitenge kifuani toka asubuhi mpaka jioni wala huna habari.
• Mumeo kila akikuangalia mpaka haamini kama ni wewe aliyekuoa ukiwa mrembo na wa kuvutia.
• Unavaa nguo nzuri tu pale tu unapotoka kwenda kanisani au mtoko maalumu.
5. Kukosekana kwa mawasiliano
• Mawasiliano yanaushisha pande zote mbili.
• Anayetoa na anayepokea
6. Kushindwa kuendeleza yale yanayompendeza kila mmoja wenu.
• Mnakubaliana mipango kama wanandoa lakini utakelezaji unakua mgumu.
• Mmoja anakuwa tayari kutekeleza na mwingine anashindwa.
• Aliyetayari kutekeleza anavunjwa moya sana na Yule ambaye sio mtekelezaji.
7. Ndoa za kipindi cha likizo.
• Wanandoa wanaonana siku kumi na nne tu kasha kila mtu anasafiri kurudi anakofanya kazi.
• Wapo baadhi ya wanandoa kutokana na mazingira yao ya kazi wanaonana kila baada ya miezi 6 au wengine hata mara moja kwa mwaka.
• Hii hasa ni kwa wanandoa wanaofanya kazi mikoa mbali mabili au nchi mbalimbali.
• Wanatafuta pesa wakiua ndoa zao kwajili ya kusaka pesa.
• Ni heri kuacha kazi hiyo na kuishi maisha ya kawaida kuliko kuwa na ndoa kama hii.
• Kiufupi hii sio ndoa.
8. Kushindwa kushirikiana chumba cha kulala.
• Zipo baadhi ya ndoa mume analala chumba chake na mke analala chumba chake.
• Wapo wanandoa pia ambao wanalala chumba kimoja ila vitanda tofauti
• Kuna wengine wanalala chumba kimoja ila mmoja analala kitandani na mwingine analala chini.
9. Kushindwa kumfikisha mwenza wako mara kwa mara katika tendo la ndoa.
• Sio swala la kushiriki tu.
• Mnaweza mkawa mnashiriki lakini je ushirika huo unamridhisha kila mmoja wenu?
• Mmoja anapokuwa anapunjika kila siku anakula lakini hashibi, inafungua mlango wa kumtafuta mshibishaji mwingine ili aweze kumshibisha.
• Tatizo hili ni kubwa sana hasa kwa siku za leo.
• Wanaume wengi ni wavivu na wenye ubinafsi.
• Wanalishwa vizuri ila wanajishibisha wenyewe tu na kuwaacha wake zao wakiishi kwa njaa ya muda mrefu na matokeo yake michepuko imekuwa ikiongezeka kila iitwapo leo.
10. Kufanya kazi pamoja mwanamke na mwaname asiye mwenzi wako kwa muda mrefu.
• Sumaku na bati vikikaa karibu mwishowe vitanasa.
• Mwanamke na mwanaume wanaofanya kazi pamoja kwa muda mrefu wakiwa katika mazingira ya private huishia katika kutamaniana.
• Kazi za kusafiri kwa pamoja mwanamke na mwanaume na kukaa hotel moja kikazi wakiwa wawili tu huweza kuongeza kazi ya ziada ambayo ni sumu kwa ndoa zao.
• Kwenda kusoma pamoja kozi za nje kati ya wawili hao, wanaweza kuvumila sikuchache za kwanza na baada ya hapo huweza kujikuta wakiwa katika ukurasa mwingine.
• Kwenda safari mbali za kikazi pamoja umakini usipozingatiwa ni majanga.
• Kufanya vikao katika vyumba vya hotel mwanamke na mwanaume.
• Kujifungia kufanya counselling au maombezi mwanamke na mwanaume wawili tu chumbani ni majanga.
• Kujifungia chumbani mwanaume na mwanamke wawili tu kusoma na kubukua kwajili ya mtihani ni majanga
BORESHA AFYA YA NYWELE ZAKO KWA KUTUMIA TUI LA NAZI
BORESHA AFYA YA NYWELE ZAKO KWA KUTUMIA TUI LA NAZI
Wanawake wengi wamekuwa wakihangaika katika kuhakikisha kuwa wanatunza nywele zao dhidi ya matatizo mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuwa na mba au kukatika kwa nywele jambo ambalo limekuwa likiwagharimu pesa pia.
Wataalam wa tiba za asili wanasema kuwa njia mojawapo ya kuboresha nywele zako ni kuziosha nywele kwa tui la nazi, ambapo anasema kuwa mara baada ya kuosha nywele zako vizuri, ukachukuwa tui la nazi lililochunjwa vizuri na uoshee nywele zako huku ukihakikisha tui hilo linafika hadi kwenye vishina vya nywele.
Wataalam hao anaendelea kubainisha kuwa tui hilo litakuwa ni tiba nzuri kwa ajili ya tatizo la mba na kuzifanya nywele zako kukua kwa haraka zaidi na kuzifanya zionekane zenye afya tele.
Mbali na mafuta hayo ya nazi, wa taalamu wanashauri, kuwa mbegu za ndimu na pilipili manga zikichanganywa pamoja na kupondwapondwa na kisha kuchanganywa na tangawizi, mchanganyiko huo husaidia sana kuotesha nywele endapo mhusika atapaka kila siku jioni.
Vitu vingine ambavyo vinaweza kurutubisha nywele zako ni pamoja na ndimu, ufuta na mafuta ya nazi
Thursday, January 26, 2017
DALILI KUMI NA TANO ZA MAPENZI KUNYAUKA
DALILI KUMI NA TANO ZA MAPENZI KUNYAUKA
Wapenzi wengi ambao wamefikia hatua ya kuachana wameshindwa katika vipimo vya kitalaamu kuthibitisha ubaya waliokoseana, ambao unaweza kubeba uamuzi huo mzito wa kuvunja ahadi zao za kimapenzi na hata ndoa.
Kwa mujibu wa watalaam wa masuala ya ndoa na mapenzi inaelezwa kwamba wapenzi wanaoachana huwa hawana sababu za msingi, hii inatokana na ukweli kwamba wanaoachana hawafahamu kiini kilichowatenganisha katika makubaliano muhimu na ya kwanza kabisa ulimwengu ya watu kufikia hatua ya kupeana utu wao.
Inasemwa hivyo kwa sababu ukilinganisha matatizo yanayotenganisha watu hayabebi hoja zinazokubalika na wapenzi wote. Kwa mfano kama wapenzi watasema wameachana kwa sababu wamefunaniana na wakadhani hiyo ni sababu wanakuwa wanaudanganya zaidi umma kwa maana kuna wanaofumaniana, wanaodhalilishana, wanaotukanana, wasioheshimiana kabisa, lakini bado wanadumu katika ndoa zao bila kuachana.
Kwa ulinganifu huo, wachunguzi wa mambo ya ndoa wanasema, kuachana si zao linaloota na kukua kwa siku moja, bali ni migogoro isiyoshughulikiwa kwa muda mrefu ambayo huwaachanisha wanandoa taratibu bila wao kujua.
Kwa maana hiyo wanaoachana au watakaoachana wanatakiwa kufahamu kuwa safari yao ya talaka haianzi na kumalizika kwa siku moja, isipokuwa hufikia katika hitimisho baada ya kuwepo katika mwendo kwa muda mrefu, ambapo dalili zake huwa hizi zifuatazo:
1 : Ikiwa mmeoana na baadaye mkaanza kuonana ni watu msiohitajiana sana katika maisha. (mapenzi kuchuja). Kila mtu anafahamu kuwa wakati wa uchumba mapenzi huwa moto moto lakini baada ya kuoana hujitokeza hali ya kuanza kuzoea. Hii inatokana na ukaribu ambao mwanzo haukuwepo au kusitishwa kwa machimbezo yaliyokuwa yakiboresha uhusiano. Kwa mfano wapenzi wengi wanapokuwa kwenye uchumba hufanyiana mambo mengi yakiwemo ya kutumiana zawadi na kadi au kutoka pamoja kwa matembezi, lakini wakioana hujikuta hawafanyiani hayo, jambo ambalo huathiri mapenzi yao.
Uchuchuzi unaonyesha kuwa wapenzi walio kwenye uchumba wanapokuwa pamoja hutumia muda mwingi sana kuomngea kwa simu, kutumiana meseji, kuzungumza tofauti na mume na mke. Ukitaka kuthibitisha keti barabarani ukiona mwanaume na mwanamke wamo ndani ya gari hawaishi kucheka na kuzungumza wafuatilie utakuta mwisho wa safari yao wanaagana kila mmoja anakwenda kwake (ina maana si mume na mke hao). Ni nadra sana kuwakuta wanaume wakiwa pamoja na familia zao wakifurahi, jambo ambalo hupunguza upendo na kuleta mazoea na hisia za kutohitajiana sana. Hili halifai likiwepo ni ishara kuwa mapenzi yanakaribia kunyauka.
2 : Mkiwa hamsameheani na kusahau mnapokoseana. Si watu wengi ambao wako tayari kusamehe na kusahau makosa. Wapenzi wa dunia ya leo wakisema nimekusamehe haina maana wamefuta kosa bali hiliweka kando na kulikumbushia wakati mwingine. ‘Hili ni kosa la tatu tarehe fulani ulinifanyia hivi, wiki iliyopita na jana kulinijibu hivi hivi sasa leo siwezi kukuvumilia”
Kauli kama hizi hutoka kwenye vivywa wa watu ambao hawako tayari kusamehe, kosa la mwaka juzi litakumbushwa tena na tena na kuzidi kuchochea ugomvi hata uliokuwa mdogo na kuoneka mkubwa kwa sababu tu umehusishwa na makosa yaliyopita. Inashauriwa kuwa uhai wa mapenzi lazima uambatana na kusameheana kama wanadamu na kusahau makosa. Hili lisipofanyika ni rahisi kuua penzi na kuwafanya watu kuachana. Ni vema kila mmoja wetu akajichunguza tabia yake na kuacha kukumbusha makosa yaliyopita.
3 : Msipokubali kuwekeana mipaka ya kiutawala. Kuna suala linatambulishwa sana siku hizi na wanaharakati, linaitwa usawa wa kijinsia, jambo hili limekuwa likichangia sana migogoro ya ndoa hasa baada ya kutumiwa vibaya na wahusika. Hakuna ubishi mila za kiafrika zinaongozwa na mfumo dume, kuubadili mfumo huu kwa haraka kumekuwa kukiharibu uhusiano mwingi wa kimapenzi kutokana na ukweli kwamba ni wanaume wachache sana ambo wako tayari kuishi na wanawake wanaovutana nao kimamlaka.
Hivyo ili kunusuru hili lisiwe kikwazo katika mapenzi tunashauri kila mwanandoa kuheshimu mipaka yake na kujali zaidi utu na si usawa kama inavyotambulishwa (haya ni mawazo yangu). Watu wanaojali utu katika familia watakuwa tayari kuwapa heshima wanaoishi nao kwa kusikiliza mawazo yao na kutokutumia nguvu kuwakandamiza wengine. Ni vema mwanamke akachungua nafasi yake kwa mumewe na mume naye akamuheshimu mke kwa utu wake.
4 : Msipozungumzia vikwazo vya maisha.
Matarajio ya watu wengi wanapokuingia katika uhusiano wa kimapenzi huwa ni kupata faraja, ni wachache kati yao hufikiria kukutana na vikwazo vya kimaisha. Tafiti zinaonyesha kuwa wakati mtu anapotafuta mpenzi huamini toka moyoni kuwa akiwa na waridi wake matatizo ya upweke, kukosa msaada wa hili na lile yatakwisha lakini baadaye anakuja kubaini kuwa aliyokusudia kuyapata hayapati tena na hivyo kujuta kwa kauli kama hizi. “Kama ningejua kama mwanaume mwenyewe yuko hivi nisingekubali kuolewa.”
Kauli kama hizi mara nyingi hutokea kwa watu ambao hawazungumzii matatizo na vikwazo wanavyokutana navyo katika mapenzi na kuviondoa. Kama mpenzi wako ana matatizo unasubiri nini kuyatafutia ufumbuzi au kama maisha hayaendi sawa ukimya wa nini kwa mwenza wako, kaeni chini muambizane kuwa mnaupungufu wa fedha na dhiki kadhaa wa kadhaa, ili kama kutatokea kukosa mahitaji muhimu liwe ni jambo linaloeleweka na wote kuwa linatokana na kipato kushuka. Uchunguzi unaonyesha kuwa wanaume wengi wanapokukwama kiuchumi hupunguza matumizi kimya kimya jambo ambalo huwafanya wanawake wengi kubaki wakitumikia zana potofu kuwa huenda wananyimwa baada ya kuwepo kwa nyumba ndogo.
5 : Msipokuwa na mipango ya pamoja na uwazi wa matumizi ya pesa.
Nina ushahidi wa kutosha juu ya kuwepo kwa wapenzi hasa wenye kipato kutokuwa wawazi katika mipango yao ya kimaisha na matumizi yao pesa. Natambua baada ya kufanya uchunguzi wangu kuwa pesa za baadhi ya wanawake huwa hazina matumizi ya wazi, badala yake wanaume hubanwa kwa kisingizio kuwa wao ndiyo wana wajibu wa kutunza familia.
Hali hii imekuwa ikileta migogoro mingi sana kwenye familia na kushusha upendo kwa vile upande unaohudumia familia hapa haijalishi mume au mke huwa unajikuta ukikereka kwa kukosa msaada wa upande wa pili na hivyo kuondoa mapenzi ya kweli. Kama hilo halitoshi vijana wengi wa kiume siku hizi wamejikuta wakiahirisha mapenzi yao kwa wasichana baada ya kukosa ushirikiano wa kimapato na matumizi yake.
“Ninashida ya kuonana na wewe mpenzi wangu, vipi nikufuate kazini?” Jibu linakuwa “Hapana niko bize sana leo.” Inawezekana kabisa mtu akawa hayuko bize lakini kwa sababu anaogopa kukamuliwa kipato na yeye mambo yake hayako sawa anaamua kukacha ahadi. Lakini ukiwepo ushirikiano wa kimatumizi husaidia kudumisha mapenzi.
Inashauriwa kwamba kama wapenzi wote wana kazi na wanapokea mishahara ni vema vipato vyao vyote vikatumika katika kutunza na kuendeleza familia. Tabia ya mwanamke kumtegemea mwanamume kimatumizi huku yeye akitumia pesa zake kwa manunuzi ya vipodozi na nguo au kufanyia mambo yake kwa siri haijengi badala yake inanyausha mapenzi kama siyo kuyaua kabisa.
6 : Mkiacha kujaliana na kupeana haki katika tendo la ndoa.
Tendo la ndoa ni muhimu kwa wanandoa kwa vile linahusika na hizia za mwili. Matatizo mengi ya usaliti kwa mujibu wa uchunguzi, yanatokana na wapenzi kutotoshelezana wakati wa tendo la ndoa. Kwa kutokutambua madhara au kwa uzembe, wapenzi wengi wamekuwa wakiacha kutimiziana tendo hilo bila kuwepo kwa sababu za msingi. “Mimi nimechoka siwezi kufanya mapenzi.”
Inawezekana kweli mtu akawa kachoka sawa na kauli hiyo lakini sababu hiyo haiwezi kumfanya mwenza akazimaliza hisia zake, isipokuwa kwa kutafuta njia mbadala zikiwepo za usaliti. Sambamba na hilo wapenzi wengi wamenyausha mapenzi yao kwa kutokuwa wabunifu katika uwanja wa sita kwa sita kwa kutokujituma, kutobuni staili mpya, kutochombeza na kutohamasisha kwa cho chote na kibaya zaidi kutokuwepo kwa usafi wa mwili yao.
Katika kipindi cha maisha yangu ya ushauri wa masuala ya saikolojia, maisha na mapenzi nimekuwa nikikutana na wanaume wengi wanaolalamika kuwa wana upungufu wa nguvu kiume. Lakini wengi kati ya hao ambao mamia yao nimeshawasaidia walijikuta wakipungukiwa nguvu zao kwa sababu za kisaikolojia zilizochochewa pia na udhaifu wa wenza wao. Kama utakuwa na mtu kwa mfano, ambaye mtakutana naye chumba kile kile, eneo lile lile, staili zile zile, kwa miaka mitano mfululizo bila shaka hali ya kukinaishwa itakuwepo na hivyo mapenzi kunyauka. Katika hili ni vema kujifunza zaidi namna ya kutoshelezana katika tendo la ndoa.
7 : Mkibeba fikra binafsi kwa kila mtu kutaka mafanikio yake.
Maisha ya wapenzi wengi yamekuwa yakipoteza maana kiasi cha kufikia kuchuja kutokana na wapenzi wenyewe kuwa na mawazo ya ubinafsi. Utakuta watu wameoana lakini kila mmoja anakabili changamoto za maisha peke yake, hali ambayo humfanya atumie nguvu kubwa kutafuta ushindi wa matatizo yake.
Mantiki ya maisha ya ndoa ni kusaidiana. ‘Mungu alimwambia Adamu kuwa atampatia msaidia wa kufanana naye ambaye ni mwanamke aliyeitwa Hawa.’ Upo pia msemo usemao ‘Kamba ya nyuzi tatu haikatiki upesi’ Ni wajibu wa wanandoa kuhakikisha kuwa maisha yao yanakuwa ya nyuzi mbili ili yasikatike upesi. Lakini ikiwa kila mtu anajenga nyumba yake, anafanya biashara zake, ana mipango yake binafsi ujue mwisho mbaya wa mapenzi umesogea.
8 : Mkiwa watu wa kutoa siri zenu nje.
Upo udanyanyifu mwingi wa kimawazo miongozni mwa wapenzi wengi kiasi cha kudhani kuwa kumwambia rafiki au ‘shoga’ masuala ya ndani ya ndoa ni kutafuta suluhu ya matatizo. Hii si sahihi kwa vile upo ushahidi mkubwa juu ya wapenzi wengi ambao walijikuta katika wakati mgumu baada ya kutoa siri zao nje. Ifahamike kuwa ndoa imara ni ile inayoheshimika katika jamii, na heshima hiyo haiwezi kuwepo kama wanandoa hawatakuwa makini katika kutunza siri za mapenzi yao.
Haipendezi kwa mwanamke/ mwanaume kwenda kijiweni na kuanza kuanika mambo ya ndani kwa mfano. ‘Yaani leo mume wangu hakuacha kitu chochote ndani sijui itakuwaje. ‘Sema wanawake wote lakini si mke wangu, ana kasoro nyingi sana.’
Kauli kama hizi na nyingine ambazo zinatoa nje udhaifu wa maisha yenu hazifai, kwani katika kila ndoa kuna udhaifu mwingi ukiwepo ukimya ina maana wahusika wanaweka udhaifu wao kifuani kwa maslahi ya maisha yao. Na wewe uwe hivyo kwa kutunza siri za mumeo.mkeo.
9 : Msipokuwa wawazi katika kuzungumzia upungufu wa kibinadamu mlionao na kusaidiana.
Wapenzi wasomaji wangu, hakuna mwanadamu aliyekamili kwa asilimia mia moja. Ukimuona hodari wa hili ni dhaifu wa lile, kinachotakiwa ni kusaidiana katika kufikia ukamilifu. Faraja inayopatikana katika upungufu wa mwanadamu hasa usiokuwa wa kimaumbile ni kuwepo kwa utatuzi wake. Kuna wapenzi wengi wamefikia kuachana kwa kasoro ndogo ndogo kama za kutojua mapenzi, au hata uchafu wa mwili ambao kama wangekaa na kujadiliana pamoja wangepata ufumbuzi wa tatizo.
Inashauriwa kuwa kunapokuwepo upungufu wowote wa kati ya mwanaume na mwanamke ni wajibu wa wapenzi wenyewe kukaa chini na kuelezana wazi na kushirikiana katika kupata ufumbuzi. Unashindwa nini kuwambia mpenzi wako kuwa hakutoshelezi katika tendo la ndoa, ana harufu mbaya mwilini, mchafu, hajui mapenzi na mambo kama hayo! Kikubwa katika hili ni kujua namna ya kuwasil;isha ujumbe, maana kuna wengine hawana lugha nzuri za mawasiliano “Yaani mke wangu unanuka sana mimi nakerwa sana” Ukisema hivi utamfanya mwenzako aone kama unamnyanyapaa. Tumia lugha nyepesi itakayosaidia kumaliza tatizo msikae kimya bila kuzungumzia upungufu wenu mtajikuta mnaachana.
10 : Mkiendekeza nguvu katika kutwaa madaraka ndani ya familia.
Kuna baadhi ya familia kila mmoja ni mtemi hakuna diplomasia katika kutatua migogoro. Utakuta mwanamke ni mbogo na mwanaume naye ni simba, basi shughuli inakuwa nzito. Ndoa inakuwa uwanja wa ndodi kila siku kutoana manundo. Hakuna mapenzi ya namna hiyo! Kanuni za mapenzi bora zinakataza wapenzi kutumia nguvu kutwaa madaraka au haki ndani ya familia. Inawezekana kabisa wewe kama mke/ mume ukwa na haki katika jambo fulani lakini haki hiyo haikupi fursa ya kutumia nguvu nguvu kuipata.
Kinachotakiwa katika mapenzi ni kuheshimiana, kwani katika hali ya kawaida utumiaji wa nguvu katika kudai haki ndani ya familia ni moja kati ya mambo yaliyoshindwa katika historia kuleta maelewano. Kama unadhani naongopa keti chini ujitathmini tangu umeanza kumchunga mumeo/mkeo na kumbana kwa ngumi umepata mafanikio gani, ameacha tabia yake au ndo anazidi? Umwamba haufai kutumika katika maisha ya ndoa kwa mtu yoyote awe mwanaume au mwanamke.
11 : Mkiwa watu msioheshimiana mbele za watu na kupenda zaidi kusema kuliko kusikiliza.
Nimeshuhudia wapenzi wengi ambao hawajui umuhimu wa kuheshimiana mbele za watu. Utakuta mwanamke/mwanaume akimwaibisha mwenzake mbele za watu kwa kumfokea, kumwita jina baya, kumtusi, kumtoa kasoro na hata kumdhalilisha. Kitendo hiki ni kibaya na maumivu yake hudumu kwa muda mrefu akilini mwa mtendewa.
Inashauriwa kwamba wapenzi wanapokuwa mbele za watu wachunge ndimi zao na wawe watu wanaopenda zaidi kusikiliza kuliko kunena. Inaelezwa, penye wingi wa maneno yapakosi kuwa na uovu. Kuna wanawake wakianza kuwatusi waume zao mpaka nyumba ya 50 wanasikia au wakati mwingine hutoka nje na kumwaga mitusi kana kwamba wameambiwa watapewa tuzo. Hiyo si heshima na hajawahi mtu kuheshimika kwenye jamii kwa uhodari wa kutukana watu.
12 : Msipokuwa tayari kukubali kosa na kujirekebisha.
Dalili nyingine ya mapenzi kunyauka ni kwa wapenzi wenyewe kuwa na tabia ya kutokukubali makosa na kujirekebisha. Utakuta mwanaume/,mwanamke ameshaambiwa mara nyingi na mwenza wake juu ya tabia zake na pengine hata marafiki zake wamemtahadharisha lakini habadiliki, kila siku anarudia makosa yale yale ambayo yanamuumiza mpenzi wake. Huu ni mwenendo mbaya, ubinadamu unamtaka kila mtu kuwa tayari kukiri kosa na kujirekebisa
13 : Msipokuwa watu wa kuitafuta furaha pale inapokosekana.
Wakati mwingine harakati za maisha huleta huzuni, kwa mfano, kama wanandoa watafiwa, kuuguza, kufukuzwa kazi, kupoteza mali kwa kuibiwa na matukio kama hayo huondoa furaha. Hapa inashauriliwa kwamba endapo furaha itaondoka kwa sababu yoyote wanandoa wanajukumu la kuitafuta. Hapa namaanisha kutiana moyo na kuwezeshana kusonga mbele wakiamini kuwa hakuna marefu yasiyokuwa na ncha. Kuacha huzuni itawale nyumba yenu kwa muda mrefu hupunguza mapenzi.
14 : Msipozingatia kuombana msamaha bila kujali nani mwenye kosa.
Kuombana msamaha ni jambo la lazima kabisa katika ndoa, na busara inamtaka mwenza kuwa tayari kuomba masamaha hata kama anaona kabisa hakuna kosa la msingi alilolifanya mbele ya mwenzake. Kung’ang’ania kutaka haki kipindi cha kuzozana ni njia ya kuelekea kukosana zaidi na hatimaye kuachana. “Nakuomba unisamehe mke/mume wangu, najua nimekuudhi.” Baada ya kutoa kauli hiyo na mzozo kupoa mhusika anaweza kufafanua kilichotokea na hapo anaweza kueleweka zaidi kuliko kipindi ambacho mpenzi wake anakuwa na hasira.
15: Msipokuwa tayari kukumbushana wajibu na mwenendo wenu
“Atajijua mwenyewe siku yakimkuta ya kumkuta huko ndo atafahamu” “Mimi nimechoka nimebaki namwangalia tu.” Kubaki unamwangalia mpenzi wako anaharibikiwa si uamuzi wa busara kwani mwisho wa siku kama ni aibu itakufikia na wewe pia. Ukimuona mwenzako anakwenda nje ya mstari wa jamii mrejeshe na kuzidi kumkumbusha kila siku wajibu wake kama baba au mama wa familia, hii inasaidia kumuweka sawa mahali anapokosea.
Mpaka hapa tutakuwa tumefikia tamati ya somo letu, naamini watu wengi wamejifunza vya kutosha. Shukrani za pekee ziwaendee watu wote waliokuwa pamoja nami tangu mwanzo wa somo hili
Sababu 10 zivunjazo ndoa nyingi... Vijana na Wanandoa soma hapaa....
Sababu 10 zivunjazo ndoa nyingi... Vijana na Wanandoa soma hapaa....
Upendo
Upendo wa kweli ni jambo muhimu sana katika maisha ya ndoa, vijana wengi hukimbilia ndoa kisa mali hasa vijana wa kike, bila kusahau ndoa ni pingu za maisha na huyo mtu utakaa nae milele. Upendo wa kweli usipokuwepo katika ndoa hii ndoa haiita dumu maana amani haita kuwepo pia faraja kati ka wanandoa haitopatikana na hio ndoa kugeuka maigizo.
Uwaminifu
Kama upendo wa kweli ukiwepo ndani ya nyumba, uaminifu hasa ndio waaitajika, kama hamta aminiana vitu vidogo tu vitawatenganisha, maana jamii kawaida huonea wivu ndoa na kutupa mishale ya maneno na matendo ili kuijeruhi ndoa yenu, na siri za ndani ni zenu kama wana ndoa sio za wote, na kama uaminifu hauta kuwepo ndoa itakaa kwa mashaka, na ndoa ya mashaka haidumu.
Msamaha
Kuna msemo wa kiingereza unasema “no body is perfect” kiswahili inamaana kuwa, “hakuna alie msafi” hii inamaanisha kuwa binadamu hukosema na anahitajika kusamehewa,kama ndoa haita weka msamaha kama ngao yao, muhimili wa ndoa hii uko matatani.
Uvumilivu
Ndoa imeundwa na watu wawili ambao walitoka nyumba tofauti na maisha tofauti kabisa, ndoa huwajumlisha kutokana na tofauti zao, kabla ya ndoa kuna kitu kinachoitwa courtship(Uchumba) hiki ni kipindi ambacho wapenzi hujuliana tabia zao na kuunganisha tofauti zao na kawaida hutumia mwaka 1 mpaka 4 na ikizidi hapo ni tatizo, kukiruka au kukizidisha hiko kipindi huaribu ndoa nyingi sana na kama hapakuwa na maelewano ya tabia hapa mnaruhusiwa kuachana na kama ukilazimisa hiyo ndoa haitadumu.
Mawazo mgando
Katika ndoa wanawake wengi huwategemea wanaume katika kutafuta, na hata wengine wakijiita ni wanawake wa nyumbani, pia kuna wanaume wanao lelewa, ndoa haiwezi endelea kama hapatakuwa na maendeleo maana mwaweza pata watoto na kipato toka uchumba hadi mna watoto watatu ni kile kile mwisho wa siku ndoa huvunjika kisa kipato shida, mwanandoa kutumia njia mbadala(wizi, uzinzi n.k), kwa mwanamke epuka kuwa mke wanyumbani na mwanaume atafute kazi, hii pia husaidia katika tendo maana wote mnakuwa mmechoka tendo mnafanya kutafuta usingizi, vinginevyo ndio mchepuko unapoanzia.
Mazoea
Mke ndio mpishi wa chakula cha ndoa, hata katika mapishi ya kawaida chakula huwa kina badilishwa tokana na ratiba au mpishi atavyojisikia, chakula cha ndoa kinaitaji maandalizi sawa na chakula cha tumbo, namaanisha kuwa mke na mume wanahitaji kujiandaa na kama hawatajiandaa hata dakika 1 mwanaume hatafika yaani ataonja tu chakula cha ndoa na kulala, hii ni sawa na maisha ya kawaida ya nyumbani, nyumba inatakiwa iwe safi na ibadilishwe mipango kuondoa mazoea, pia chakula kinahitaji kubadilika sio sikukuu tu, na wapenzi wabadilike hata pawe na out.
Kutotambua wajibu
Katika jamii yetu tumelelewa tukitambua wajibu wetu kwa kila jinsia tokana malezi na tamaduni, mwanaume alete chakula mezani na mwanamke apike, lakini maisha yana badilika na sio kila siku sawa, mfano mke anamimba na vyombo havijaoshwa na nguo hazijafuliwa mwanaume akijitolea sio mbaya , tutambue wajibu wetu ili pande fulani isilalamike maana pakitokea malalamiko ndio mwanzo wa ndoa kuvunjika.
Utii
Tukishatambua wajibu wetu na utii hufuata, hili ni jambo muhimu katika ndoa, kama utii haupo ndoa na hata familia yote inaweza tengana, usemapo utii tunaanzia kutoka kwa mtoto mpaka kwa kichwa cha familia.
Uchafu
Hili ni tatizo kubwa sana ambalo huwezwa kufichwa katika kipindi cha uchumba, ila ni shida kulificha katika kipindi cha ndoa maana mko mwili mmoja, usafi unaoitajika ni wa mwili na roho, mwili unahusisha kuoga, kunawa miguu kabla ya kulala, sehemu za ndani za siri, harufu za makwapa, nakadhalika.Usafi uzingatiwe katika ndoa na wanandoa wajaribu kufanya usafi kuwa sehemu ya maisha yao maana kuna msemo usemao, “Ishi uongo mpaka uongo uwe maisha yako”.
Kusahau uwepo wa mungu
Uwepo wa Mungu katika ndoa hulinda tabia za wanadoa, ulinzi huu hufuatana na vitabu vya dini, ambavyo kazi zao ni kulinda maadili katika jamii, kusahau uwepo wa Mungu katika jamii huleta maovu ambayo husababisha mafarakano katika ndoa na hata kuvunjika kwake.
JE WAJUA PARACHICHI NI TIBA
JE WAJUA PARACHICHI NI TIBA YA CHUNUSI NA PIA HUIWEKA NGOZI YAKO IWE KAVU NA NYORORO
Parachichi ni tunda kama walivyozoea watu wengi,lakini linaweza kukuondolea tatizo la ngozi kukauka na kukuifanya iwe nyororo na ya kupendeza zaidi?
Kama bado ngoja leo nikujuze kuwa tunda hili ni moja kati ya matunda muhimu ambayo unaweza kuyatumia ukiwa nyumbani kutengeneza “homemade facial masks” kwa ajili ya uso
Wataalamu wa ngozi wanaeleza kuwa parachichi lina viini vinavoitwa ‘glutathione’ ambazo zina nguvu ya kukabiliana na ukavu katika ngozi yako.
Kwa mujibu wa mtandao unaofahamika kama www.dry-skin-guide.com, tunda hili lina uwezo wa kung’arisha sio pamoja na nywele zako.
Mtandao huo unaendelea kueleza kuwa tunda hili pia lina mafuta pamoja na vitamin B na E ambavyo ni virutubisho muhimu katika kuboresha ngozi iliyochoka na kavu.
Pia unabainisha kuwa tunda hili lina uwezo wa kupambana na bacteria na mikunjo katika ngozi yako na kurekebisha matatizo yanayochangia ukavu katika ngozi yako.
Mpaka hapo naweza kukwambia kwamba, katika suala la urembo si lazima kutumia vipodozi vya gharama ili kukidhi mahitaji ya ngozi yako. Kwa kifupi unaweza kujenga ngozi bora na yenye afya kwa kutumia matunda ambayo yanapatikana kirahisi katika mazingira yako.
Kama huwezi kuisusa ngozi yako kwa kuhofia gharama za kununua vipodozi na kama umejaribu vipodozi vya dukani bila ya mafanikio jaribu kutumia parachichi na utaona tofauti.
Parachichi moja liloiva
Osha ngozi yako kwa kutumia na ikaushe kwa kitambaa safi kisha menya parachichi lako na lisage kisha lipake katika ngozi yako. Baada ya hapo acha lifanye kazi kwa muda wa dakika 15, kisha osha ngozi yako utaiona mabadliko ya ngozi yako kuwa laini na nyororo.
Waweza kutumia pia katika michirizi inayotokana na unene. Wataalamu wanaelezea kuwa matumizi ya tunda hili hayana.
Vipodozi vyenye kemikali mara nyingi husababisha kupotea kwa rangi yako asilia na vilevile husababisha ugojwa wa saratani ya ngozi ambayo mwisho wake husababisha kifo.
Parachichi ni tunda kama walivyozoea watu wengi,lakini linaweza kukuondolea tatizo la ngozi kukauka na kukuifanya iwe nyororo na ya kupendeza zaidi?
Kama bado ngoja leo nikujuze kuwa tunda hili ni moja kati ya matunda muhimu ambayo unaweza kuyatumia ukiwa nyumbani kutengeneza “homemade facial masks” kwa ajili ya uso
Wataalamu wa ngozi wanaeleza kuwa parachichi lina viini vinavoitwa ‘glutathione’ ambazo zina nguvu ya kukabiliana na ukavu katika ngozi yako.
Kwa mujibu wa mtandao unaofahamika kama www.dry-skin-guide.com, tunda hili lina uwezo wa kung’arisha sio pamoja na nywele zako.
Mtandao huo unaendelea kueleza kuwa tunda hili pia lina mafuta pamoja na vitamin B na E ambavyo ni virutubisho muhimu katika kuboresha ngozi iliyochoka na kavu.
Pia unabainisha kuwa tunda hili lina uwezo wa kupambana na bacteria na mikunjo katika ngozi yako na kurekebisha matatizo yanayochangia ukavu katika ngozi yako.
Mpaka hapo naweza kukwambia kwamba, katika suala la urembo si lazima kutumia vipodozi vya gharama ili kukidhi mahitaji ya ngozi yako. Kwa kifupi unaweza kujenga ngozi bora na yenye afya kwa kutumia matunda ambayo yanapatikana kirahisi katika mazingira yako.
Kama huwezi kuisusa ngozi yako kwa kuhofia gharama za kununua vipodozi na kama umejaribu vipodozi vya dukani bila ya mafanikio jaribu kutumia parachichi na utaona tofauti.
Parachichi moja liloiva
Osha ngozi yako kwa kutumia na ikaushe kwa kitambaa safi kisha menya parachichi lako na lisage kisha lipake katika ngozi yako. Baada ya hapo acha lifanye kazi kwa muda wa dakika 15, kisha osha ngozi yako utaiona mabadliko ya ngozi yako kuwa laini na nyororo.
Waweza kutumia pia katika michirizi inayotokana na unene. Wataalamu wanaelezea kuwa matumizi ya tunda hili hayana.
Vipodozi vyenye kemikali mara nyingi husababisha kupotea kwa rangi yako asilia na vilevile husababisha ugojwa wa saratani ya ngozi ambayo mwisho wake husababisha kifo.
Wednesday, January 25, 2017
Breaking news
Nyumba imeporomoka hurumzi. Imefukia mafundi watatu mmoja kapatikana kakimbizwa hospital bado wawili wanafukuliwa
Monday, January 23, 2017
Taarifa kwa umma
TAARIFA KWA UMMA
MABALIKO YA NJIA YA DALADALA KITUO CHA GEREZANI KWA SIKU YA TAREHE 25 JANUARI 2017
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) inawafahamisha abiria, wamiliki, madereva wa daladala na umma kwa ujumla kuwa:
· Siku ya Jumatano tarehe 25 Januari 2017 kuanzia asubuhi hadi saa tisa alasiri kutakuwa na mabadiliko ya njia ya daladala katika kituo cha Gerezani kilichopo eneo la Kariakoo.
· Hii ni kwa ajili ya kupisha shughuli ya uzinduzi waMiundombinu na Huduma za Mabasi yaendayo haraka utakaofanyika siku hiyo kwenye kituo hicho.
· Aidha kwa siku hiyo, daladala zote ambazo huishia kituo cha Gerezani zitapaswa kuishia vituo mmbadala vyaMachinga Complex na Gerezani ‘Railway Club’ kwa utaratibu ufuatao:
· Daladala zinazotumia Barabara ya Nyerere na Chang’ombe siku hiyo zitapita Barabara ya Kawawa - Lindi hadi Machinga Complex nakurudi kwa kutumia Barabara ya Kawawa
· Daladala zinazotumia barabara ya Kilwa siku hiyo zitaishia eneo ilipokuwa ‘Railway Club’ na kurudi zilipotokea.
· MUHIMU: Magari yanayoelekea Kituo cha Mnazi Mmoja yataendelea kwenda Mnazi Mmoja bila kuathirika na utaratibu huu.
· SUMATRA inaomba radhi kwa usumbufu utakaojitokeza
SUMATRA kwa usafiri bora na salama!
Imetolewa na:
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA)
(Tafadhali wasambazie wengine wapate taarifa)
MABALIKO YA NJIA YA DALADALA KITUO CHA GEREZANI KWA SIKU YA TAREHE 25 JANUARI 2017
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) inawafahamisha abiria, wamiliki, madereva wa daladala na umma kwa ujumla kuwa:
· Siku ya Jumatano tarehe 25 Januari 2017 kuanzia asubuhi hadi saa tisa alasiri kutakuwa na mabadiliko ya njia ya daladala katika kituo cha Gerezani kilichopo eneo la Kariakoo.
· Hii ni kwa ajili ya kupisha shughuli ya uzinduzi waMiundombinu na Huduma za Mabasi yaendayo haraka utakaofanyika siku hiyo kwenye kituo hicho.
· Aidha kwa siku hiyo, daladala zote ambazo huishia kituo cha Gerezani zitapaswa kuishia vituo mmbadala vyaMachinga Complex na Gerezani ‘Railway Club’ kwa utaratibu ufuatao:
· Daladala zinazotumia Barabara ya Nyerere na Chang’ombe siku hiyo zitapita Barabara ya Kawawa - Lindi hadi Machinga Complex nakurudi kwa kutumia Barabara ya Kawawa
· Daladala zinazotumia barabara ya Kilwa siku hiyo zitaishia eneo ilipokuwa ‘Railway Club’ na kurudi zilipotokea.
· MUHIMU: Magari yanayoelekea Kituo cha Mnazi Mmoja yataendelea kwenda Mnazi Mmoja bila kuathirika na utaratibu huu.
· SUMATRA inaomba radhi kwa usumbufu utakaojitokeza
SUMATRA kwa usafiri bora na salama!
Imetolewa na:
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA)
(Tafadhali wasambazie wengine wapate taarifa)
Safari ya dodoma yaanzia hapa.
Hiyo ni Wizara ya Utumishi leo wameeanza safari kuelekea Dodoma! Na tender wamepewa magari ya jeshi!! Kama una Lorry unasubiri
Washington kupinga urais wa Donald Trump
Maelfu waandamana Washington kupinga urais wa Donald Trump
Maelfu ya wananchi wa Marekani wanaendelea kumiminika mjini Washington kupaza sauti zao wakieleza hasira na wasiwasi wao kuhusu urais wa Donald Trump, siku moja tu baada ya kuapishwa rasmi kuwa rais wa 45 wa Marekani.
Maandamano ya Wanawake mjini Washington ambayo watayarishaji wake wanasema yatawakutanisha pamoja malaki ya watu, yana lengo ya kuwazindua Wamarekani kuhusu haki za wanawake na haki nyingine za kiraia ambazo Wamarekani wengi wana wasiwasi kwamba zinatishiwa na rais mpya wa nchi hiyo.
Trump amewakasirisha watu wengi ndani na nje ya Marekani kwa kukariri matamshi yanayowashushia hadhi wanawake, Waislamu na wahamiaji wakati wa kampeni zake za urais.

Wamarekani waandamana dhidi ya Rais Donald Trump
Maandamano ya Jumamosi ya Wanawake ambayo yalianza kwa wito uliotolewa na bibi wa Hawai katika mtandao wa kijamii wa Facebook baada ya ushindi wa Donald Trump mwezi Novemba mwaka uliopita, yanahesabiwa kuwa maandamano makubwa zaidi ya kisiasa kuwahi kushuhudiwa katika mji mkuu wa Marekani.
Wapinzani wa Rais Donald Trump wa Marekani walikuwa wakiendelea kumiminika mjini Washington kwa mabasi wakitokea katika miji na maeneo mbalimbali ya nchi hiyo. Mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Richmond, Crystal Hoyt, anasema leo Wamarekani watashuhudia moja kati ya maandamano makubwa na muhimu zaidi ya kupigania uadilifu wa kijamii katika historia ya miaka 240 ya Marekani.
Profesa Crystal Hoyt ameongea kuwa, Trump ametumia siasa za kuchochea hofu, ubaguzi wa kijinsia na chuki dhidi ya wageni na wahamiaji kwa ajili ya maslahi ya kisiasa.

Maandamano ya Washington
Maandamano ya leo mjini Washington yanafanyika siku moja baada ya sherehe za jana za kuapishwa Rais mpya wa Marekani zilizoandamana na maandamano na ghasia ambazo ni kielelezo cha mgawanyiko mkubwa unaotawala jamii ya Marekani kutokana na siasa za kibaguzi za rais mpya wa nchi hiyo.
Polisi ya Washington imetangaza kuwa imewatia nguvuni waandamanaji wasiopungua 217 katika maandamano na machafuko ya jana.
UChaguzi mdogo uliofanyika jimbo la dimani Zanzibar
Sunday, January 22, 2017
Utaanzaje kurudisha matiti yaliolala nakukaa katika hali ya kuvutia
Ni muhimu kujua jinsi ya kutunza matiti
MATITI ya mwanamke kuwa katika shepu bomba ni shauri la wanawake wengi na si shauri la mtu mmoja tu. Aidha ni sehemu ya mwili wa mwanamke inayotoa msisimko mkubwa.
Wapo wanawake ambao wana musuli nyingi za matiti na hivyo wanakuwa na matiti makubwa na wengine wana kiasi kidogo na hivyo kuwa na matiti madogo.
Hali hiyo ina sababu zake ingawa wataalamu wanasema kwamba ukubwa wa maziwa huambatana na historia ya familia, umri,kupungua kwa uzito, ujauzito unene na kunyumbuka kwa ngozi ya kwenye matiti, kiwango cha homoni hasa estrogen na progesterone.
kwa kuwa matiti ya mwanamke ni sehemu ya utambuzi wake wa ukike na mwenyewe alivyo na pia ni alama ya uzazi na salama kwa mtoto wake.
Uzuri wa matiti ni kuwa mazima na kama kukitokea kasoro kidogo tu huwa ni kasheshe kubwa kwa upande wa mwanamke. Kutokana na hili nashauri wanawake kuwa na tabia ya kutunza matiti yao ikiwa ni pamoja na kuyakagua na kama kuna kasoro kuyafikisha kwa wahusika kuangalia tatizo.
Usafi wa mwili huambatana na kuyatunza vyema matiti yako.
Lakini wengi wanaotaka matiti makubwa ndio ho wanaopata adhabu ya kusaka matiti hayo kwa udi na uvumba.
Uzuri wa matiti
zipo njia nyingi za kuwa na matiti bomba na kwa sasa duniani matiti bomba ni yale makubwa( nadhani hii ni fasheni).Unaweza kupata matiti hayo kwa upasuaji au na kwa kupachika kitu ndani hasa silikoni na nyingine ni kutumia dawa ambapo misuli hujazia na kuyafanya matiti kuwa makubwa.
Njia ya kukuza matiti kwa salama ni kutumia dawa ambazo zimetolewa katika miti shamba, mitishamba ambayo ikichanganywa pamoja inafanyakazi mbalimbali ya kuboresha ukubwa na uimara wa matiti.
Mitishamba hii inatoka sehemu mbalimbali na Afrika Kusini wamefanikiwa kutengeneza dawa kutokana na miti hii na wanaotaka urembo wa matiti makubwa na yenye kuonekana wanapata nafasi kubwa ya kununua dawa hiyo.
Aidha baada ya kujazia matiti yako na kuwa makubwa kitu kinachofuata ni kuhakikisha kwamba matiti yako hayalegei na kuwa katika ukubwa wake bado yanasimama katika saa inayotakiwa na yenye raha yake si kutazama bali pia kuyatomasa.
Matiti hupendeza zaidi baada ya kuonekana yakiwa yametulia na yanayokubali brasia zenye maana duniani.
Aidha uzuri mwingine utatokana na kuwezesha matiti yako imara kwa kufanyia hali ya kuwezesha musuli za maziwa kufanyakazi yake.
Pamoja na kuongeza ukubwa wa matiti ni vyema kama ngozi yako inakuwa na rangi ile inayofaa huku ukihakikisha kwamba chini ya maziwa jacho halikai na wala brasia haisababishi wewe kuwa na kazi ya ziada katika usafi wa eneo hilo.
Ipo haja ya kutumia mafuta yanayostahili kukata mnururisho mkali wa mwanga unaoweza kusababisha kansa ya ngozi.
Kliniki moja ya Afrika Kusini St Herb Beauty Breast Care imetengeneza aina fulani ya mitishamba yenye mchanganyiko maridhawa kwa ajili ya matumizi ya wanawake wanaotaka urembo wa matiti makubwa na yaliyosimama bila upasuaji wala kutumbukiza kitu katika matiti hayo.
Ni lazima kuwe na mizania ya mitishamba kupata kile kitu unachotaka. Kliniki hiyo imekuja na fomula yake inayoitwa Beauty Bust Herbal Breast Enlargement Formula ambayo hushawishi kukua kwa misuli za matiti bila kushawishi uzalishaji wa maziwa na kuyaongezea uzuri matiti yako.
Pamoja na matiti hayo kuwa bora kwa matumizi hayo, matiti makubwa hulainika sana unapokuwa mzee na hili ndilo hasa nililotaka kusema, mazoezi ya mwili husaidia sana bado kuweka matiti katika shepu yake.
Kama u kijana na matiti yako yanakuwa malapa basi huenda tatizo si tu musuli zimelegea bali pia huvai brasia kukusaidia. maziwa yanaweza kuwa malapa kwa kutokuwa na kitu cha kusaidia kusimama.Hili ni wazi zaidi kwa wanawake wenye matiti makubwa au watu ambao wanafanya mazoezi bila kuwa na sapoti ya brasia.Pia matiti yanaweza kuwa malapa kutokana na kujifungua
Lakini ukitaka uhakika wa uzuri wako kwa namna ya kuwa na matiti makubwa na yalioyosimama vyema ni lazima utumie dawa hizi za matishamba ambapo mchanganyiko wake ndio umetoa fomula ya St Herb :
Fenugreek :
Kwa kawaida matunda ya mmea huu yalikuwa yanatumika na wanawake wa Kigiriki kuongeza ukubwa wa matiti yao na imehakikishwa kisayansi kuwa mtishamba huu huongeza athira ya mastogenic kwa misuli inayotengeneza maziwa.
matunda( mbegu ) ya mtuii huo yalikuwa yanatengeneza aina ya dawa ijulikanayo kama phytochemical diosgenin na estrogenic isoflavones zinazooongeza utengenezaji wa dawa ya estrogen katika mwili, dawa ambayo ni ufunguo kwa matiti yenye shepu ya mchonoko na yaliyojaa.
Mmea wa Saw Palmetto:Huu ni mmea wa kaskazini mwa Marekani na kwamba unafanana na mtende ni moja ya mmea wenye kemikali chache unaotengeneza musuli na husawazisha matatizo ya mkaziwa yenyewe.
Fennel Seed:Husaidia kuzalisha musuli nyingine mpya
L-Tyrosine:Hii ni amino acid, Tyrosine ambayo hudhibiti uzalishaji wa homoni na hivyo kupunguza unene na.
Mexican Wild Yam:Matumizi ya kila siku yanapunguza michirizi isiyotakiwa katika matiti.
Kelp:Ni zao la baharini. Ni chanzo bora cha madini ya iodine chakula chenye hiki huleta homoni zilizojipanga vyema.
Damiana:Kikawaida hutumika kwa ajili ya kuleta mizania ya homoni.Kuleta ukuzi mwema wa matiti, kupunguza dalili za matatizo yanayoambatana na siku za hedhi na kuchanganya ashiki;husaidia kupunguza uzito kuleta nguvu na kuondoa uchovu.
Dong Quai:kikawaida mmea huu wa Asia hutumika kuripea seli ikiwemo ya mammorianna, (tezi za matiti).
Mother's Wort:Mmea uliopo sehemu nyingi za Ulaya na kandoni mwa mito ambazo hutoa msukumo fulani katika kano la uzazi.
Black Cohosh :Mmea unaopatikana kaskazini mwa Marekani hutumika kama dawa ya kubadilisha homoni.
Avena Sativa:Ni kama shayiri na ina kiasi kikubwa cha saponins, flavonoids, minerals, na alkaloids kwa ajili ya mfumo wa homoni.
Humulus Lupulus:Husaidia kuimarisha matiti.
kisasili cha matiti
1. Kujiamini kwa mwanamke kumejikita zaidi katika ukubwa wa matiti yake
2. Wanawake hawana muwashawasha sana na ukubwa wamatiti yao
3. Brazia za kimichezo si za lazima.
4. matiti makubwa yanauhusiano na mambo ya ngono
5. Wanawake na matiti madogo hushindwa kunyonyesha kwa ufanisi
6. Wanawake wote hufurahia kutomaswatomaswa kwa matiti yao
7. Wanawake kwa kawaida huwa na matiti mawili yenye ukubwa unaofanana
8. Nywele kuzunguka chuchu huonyesha kwamba mwanamke huyu si wa kawaida
9. Wanawake na matiti makubwa ni wazazi sana
10.Unyonyeshaji husababisha matiti kuwa malapa
Muhimu
Ikiwa ni jambo ambalo kila mwanamke ana litaka, hakuna mwanamke anaye penda kuwa na matiti yaliyo lala hasa kama huyo mwanamama bado kijana. Matiti hulala kutokana na mambo mbalimbali kama uvaaji wa blazia muda mrefu, kunyonyesha watoto, utoaji mimba nk, lakini kuna njia za kuyarudisha maziwa ya simame kiasili, rahisi, haiitaji hela nyingi na hazina madhara si kama kufanyia upasuaji na njia hizo ni:
fanya mazoezi yafuatayo kama ionekanavyo kwenye picha, yanaweza kusaidia kurudisha matiti katika hali ya usichana
Pia unaweza kutumia barafu ku massage matiti yako kwa muda wa dakika moja kila siku, massage maziwa yako rounded inaweza kusaidia kusamaisha maziwa yako
Pia unaweza kutumia mchanganyiko wa ute wa yai, vitamin E na mtindi changanya ute wa yai,mtindi na vitamin E upake kwenye ziwa lako na kumassage kwa njia ya round kila siku utapata matokeo kwa muda mchache
Friday, January 20, 2017
Wednesday, January 18, 2017
Mbunge Godbless Lema leo Jan 18 amepelekwa tena Mahakamani
Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema na mke wake Neema Lema wamesomewa maelezo ya awali ya kusambaza ujumbe wa kuudhi kwa mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo ambapo Wakili wa serikali Alice Mtenga Ameieleza mahakama kwamba wameaandaa mashahidi watano na watakuwa na vielelezo ikiwemo simu ya Mshtakiwa.
August 20 mwaka 2016 washtakiwa wote kwa kutumia simu ya mkononi waliandika ujumbe mfupi na kuutuma kwa mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo na msg yenyewe ilikua inasema ‘Karibu tutakudhibiti kama Arabuni wanavyodhibiti Mashoga‘
Mshtakiwa ambaye ni Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema amekana tarehe ya kukamatwa na kumtumia ujumbe huo wa kuudhi mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo ambapo Wakili wa Lema, John Malya amesema wameweka pingamizi la maandishi kutokana na kuwepo kwa upungufu katika hati ya mashtaka
Hakimu anayesikiliza kesi hiyo John Baro amehairisha kesi hadi February 3 ambapo pingamilizi hilo litasikilizwa lakini pia Mbunge wa Arusha mjini Godbles Lema amesomewa shtaka la kuhamasisha watu kufanya kusanyiko lisilokuwa na kibali kupitia mtandao wa kijamii
Hakimu anayesikiliza kesi hiyo Bernard Nganga amepanga kutolea uamuzi mdogo kuhusu hoja iliyoletwa na upande wa mshtakiwa kuhusu kesi hiyo kuhamishiwa katika mahakama ya kikatiba yenye majaji watatu, unaweza kutazama video fupi ya leo kwa kubonyeza play hapa chini
U HEARD: ‘Nimesikia wimbo mbaya lakini sijataja ni wa nani’-Nay wa Mitego
Leo January 18 2017 kupitia XXL ya clouds FM, Soudy Brown ametuletea U Heard inayomhusu Nay wa mitego baada ya jana kuandika kwenye account yake ya instagram kuwa ‘leo nimesikiliza wimbo mbaya kuliko nyimbo mbaya zote nilizowahi kuzisikiliza mwaka huu’
Soudy Brown amedai kuwa watu wamehusisha wimbo huo mbaya anaousema Nay wa Mitego kuwa ni wimbo mpya wa Madee ‘hela’, Nay wa Mitego alipoulizwa, haya yalikuwa majibu yake……….
‘Sijataja wimbo wa mtu, sijasema wimbo wa nani kama huyo amejishuku basi wimbo wake mbaya mimi sijataja wimbo wa msanii yoyote ila mimi nimesikiliza wimbo mbaya’
Soudy Brown amepiga stori pia na Madee na kumuuliza nani ni rasi wa Manzese kati ya Madee na Nay wa mitego……..>>>’Nenda ukaulize Manzese utapata jibu au wewe unajua nani ni rais wa Manzese
Umri unaofaa kuoa
Kuoana maana yake ni kuwajibika kwa maisha yako na mke au mume wako. Mara nyingi kuoana kunaambatana na kuzaa watoto. Ni vigumu sana kutambua umri sahihi wa mtu kuoa au kuolewa, kwa sababu watu wanatofautiana katika kuamua ni lini yuko tayari kujitegemea na kuwajibika kumtunza mtu mwingine. Wengine wanakuwa tayari katika umri wa miaka 20 na wengine katika umri mkubwa zaidi.
Kwa vile kuoa au kuolewa mara nyingi kunahusishwa na mtu kuwa mzazi, kuna vipengele vya kiafya vinavyofaa kuzingatia. Kwa mfano siyo vema msichana kuzaa kabla hajafikisha umri wa miaka 18, kwa sababu mwili wake hauko tayari kuzaa mtoto. Nyonga i nakuwa bado ni nyembamba, viungo vya uzazi ni vidogo na havijakomaa kiasi ambacho vinaweza kuharibika wakati wa kuzaa mtoto.
Kwa hiyo basi unashauriwa kusubiri i kuoana mpaka hapo utakapokuwa umejenga msingi i mzuri i wa maisha yako. Kabla hujawa tayari kuoa au kuolewa unaweza kuwa na urafiki na yule aliye mtarajiwa wake ili taratibu muweze kuelewana tabia, yale anayoyapenda na asiyoyapenda na kujenga msingi mzuri wa uhusiano.
Kwa vile kuoa au kuolewa mara nyingi kunahusishwa na mtu kuwa mzazi, kuna vipengele vya kiafya vinavyofaa kuzingatia. Kwa mfano siyo vema msichana kuzaa kabla hajafikisha umri wa miaka 18, kwa sababu mwili wake hauko tayari kuzaa mtoto. Nyonga i nakuwa bado ni nyembamba, viungo vya uzazi ni vidogo na havijakomaa kiasi ambacho vinaweza kuharibika wakati wa kuzaa mtoto.
Kwa hiyo basi unashauriwa kusubiri i kuoana mpaka hapo utakapokuwa umejenga msingi i mzuri i wa maisha yako. Kabla hujawa tayari kuoa au kuolewa unaweza kuwa na urafiki na yule aliye mtarajiwa wake ili taratibu muweze kuelewana tabia, yale anayoyapenda na asiyoyapenda na kujenga msingi mzuri wa uhusiano.
Friday, January 13, 2017
Jinsi ya Kupunguza Uzito Kwa Njia za Asili: Njia 3 Rahisi
Uzito mkubwa wa kupindukia ni tatizo kubwa la kiafya katika maisha yetu ya kisasa. Uzito unapozidi kiwango ambacho kinahitajika kwa mtu husika kunachangia matatizo mengi ya kiafya. Watu wenye uzito mkubwa wamekuwa wakijaribu njia nyingi tofauti za kupunguza uzito bila ya mafanikio aidha kwasababu ya kukata tamaa mapema kabla ya matokeo au kwa kufuata njia zisizo sahihi na namna zisizo sahihi.
Baadhi ya matatizo yanayosababishwa na uzito mkubwa ni Kisukari ,Shinikizo la Juu la Damu na magonjwa mengine ya moyo.
Sababu za Kuongezeka Uzito wa Mwili:
Uzito mkubwa wa kupita kiasi unatokana na kuongezeka kwa mafuta mwilini ambayo hutunzwa sehemu mbalimbali mwilini kama juu ya ngozi,tumboni na juu ya viungo vya nadni vya miwili kama moyo,utumbo nk. Pia hujenga utando pembeni mwa mishipa ya damu.
Mafuta hutunzwa kama akiba pale mtu anapokula chakula kingi kuliko kiasi cha nguvu anazohitaji na hivyo mwili unabadilisha chakula hicho kuwa mafuta na kuweka katika akiba.
Watu wa mijini wananenepa zaidi kuliko wa vijijini kwasababu ya mitindo yetu ya maisha ambayo tunakula chakula kingi na chenye mafuta lakini hatuifanyishi miili yetu kazi za kutosha kutumia nguvu tulizoingiza.
Chukua mfano, mtu anakula kJ 5, mchana anakula kJ 20, jioni kJ 15 jumla ni Kj 40. Anaenda kazini kwa gari,anakaa masaa 8 kwenye kiti kazini kisha jioni anarudi na gari hadi nyumbani kwake. Umabali aliotembea ni mita 10-20 jumla ya nguvu ulizotumia jouli 30, nguvu zilizobaki bila matumizi ni kJ 10.
Sasa mwili unafanya nini na kJ 10 zilizobaki? Zinahifadhi kwa matumizi ya baadae kama mafuta ambayo hatakuja kuhitaji.
Fikiria inakuwaje katika siku 30 za mwezi na hifadhi hii. Hivi ndivyo uzito na unene unavyopatikana.
* kJ=Kilo Jouli (Kipimo cha nguvu mwilini)
Jinsi ya Kupunguza Uzito wa Mwili
Kupunguza kiasi cha chakula kwa siku

Hii ni njia moja kubwa ya kufanya usipate uzito mkubwa na pia kupunguza uzito.
Kama unahitaji kJ 30 kwa siku basi kama una uzito uliozidi utatakiwa kula kJ chache mfano kJ25 ili kJ 5 zinazohitajika zitoke katika akiba ya mafuta mwilini.
Uzito mkubwa unachangiwa kwa asilimia nyingi na kiasi kikubwa cha chakula mtu anachokula.
Naomba ifahamike kuwa suluhisho sio kuruka mlo,unatakiwa kula kila mlo ila kwa kiasi kidogo.
Kufanya Mazoezi ya Mwili
Mazoezi ya mwili iwe kwa kufanya kazi au kwa kukimbia au katika vituo vya mazoezi au nyumbani yanasaidia kupunguza uzito kwa kuunguza mafuta ya akiba katika mwili. Mfano kama unakula kiasi unachohitaji tu kwa kazi za kawaida na kisha ukafanya mazoezi,mwili utahitaji kuchukua nguvu toka katika mafuta ili kujazia upungufu. Mfano unaweza ukatumia kj 10 kwa mazoezi ya dk 30 mpaka dk 60. Hivyo ukifanya mara kwa mara kama si kila siku utapungua tu uzito.
Mazoezi rahisi kufanya ni kukimbia kila jioni au asubuhi kwa umbali wa km 1 mpaka 2 zinatosha. Lakini unaweza kwenda katika kituo cha mazoezi jioni au ukanunua vifaa vya mazoezi na kufanya nyumbani kama unaweza.
Mpango Sahihi wa Chakula-Chagua Kula Chakula Sahihi
Katika njia ya kwanza nimesema juu ya kiasi unachokula,hapa naelezea juu ya aina ya chakula unachotumia kinachangia uzito kuongezeka au vinginevyo.
Ulaji wa vyakula vingi vya wanga na mafuta ni chanzo kikubwa cha unene na uzito kuongezeka. Vyakula kama ugali,wali,mkate mweupe,bia na pombe za kienyeji zinazotokana na wanga (kimea) huchangia kuongezeka kwa uzito. Matumizi ya aina hii ya chakula ni muhimu kupunguzwa katika mlo wako.
Vitu vya kufanya katika mpango wa chakula:
Acha kula Vyakula vya Sukari
Sukari inayozidi mwilini toka katika vyakula hubadilishwa na kuwa mafuta. Vyakula kama chokuleti,biskuti,keki na vinyaji kama soda vina kiwango kikubwa cha sukari. Pia usitumie sukari nyingi katika chai na juisi.
Kula Mboga Mboga na Matunda Kwa Wingi
Mboga mboga ni nzuri kwa afya kwa ujumla lakini pia haina mafuta hivyo itakufanya kuingiza mafuta kidogo mwilini.
Matunda halikadharika hayapunguzi uzito moja kwa moja bali yatakufanya ushibe na usitamani kula kila mara kwani yanakata hamu ya chakula. Hivyo utaokoka na tabia ya kula kila mara ambayo huchangia sana kuongezeka uzito.
Acha Kula Kula Ovyo Nje ya Milo Maalumu
Uzito na kula kula hovyo ni marafiki wakubwa. Ukiona mtu ni mnene ujue anapenda kula. Ile kweli anakulakula ikimaanisha anakula kila mara na kila wakati chakula kinapokuwepo.
Anza leo kujenga tabia ya kula kidogo na katika milo muhimu mitatu.
Punguza Matumizi ya Chumvi
Ndiyo,chumvi inaongeza uzito. Sodiamu iliyomo katika chumvi inachangia katika mchakato wa kikemikali unaopelekea kuongezeka uzito. Tumia chumvi katika kiwango kidogo.
Tumia Chai ya Kijani
Umesikia kuhusu chai ya kijani (Green Tea), ni chai ambayo ni ya kijani na inasaidia kuondoa sumu za mwili (antioxadation). Hii inasaidia katika kusaidia mwili kuunguza mafuta katika njia inayoitwa thermogenesis.
Tumia Chai ya Tangawizi
Tangawizi kama ilivyo chai ya kijani inafahamika kuongeza mmeng’enyo wa chakula tumboni hivyo kupunguza mrundikano wa mafuta yasiyotumika
Kunywa Maji Mengi
Maji yanachangia kuharakisha mfumo wa uvunjaji chakula tumboni na hivyo kupunguza mafuta yanayohifadhiwa.
[Soma pia: Vyakula vya Kusaidia Kupunguza Uzito]
Panga Malengo na Anza Kuchukua Hatua
Kupungua uzito kunahusisha suala la kubadili tabia. Kila mtu anajua ugumu wa kubadirisha tabia. Lakini kama unajali afya yako ni lazima ufanya maamuzi leo na weka malengo ya kuanza kufanya haya yaliyoelezwa hapa.
Mbuyu hauangushwi kwa siku moja,ila anza kupanda mimea mingine kuuzunguka na utaanza kudhoofika. Anzisha tabia mpya nzuri itakayokusaidia kupunguza uzito. Anza na hatua moja,inaweza ikawa kula kidogo au mazoezi kisha baadae ukafanya yote. Kuanza kuchukua hatua ni jambo gumu ila muhimu sana katika kutimiza lengo la kupunguza uzito.
Kama umeipenda mada hii basi mshirikishe na mwenzio na toa maoni yako au tufahamishe njia nyingine unazotumia kusaidia kupunguza uzito wa mwili. Asante kwa kusoma na nakutakia utekelezaji mwema.
Subscribe to:
Comments (Atom)





























